Mbowe awashangaa watanzania... Uwanja wa Ndege Kilimanjaro unakodishwa kwa Dola 1,000 kwa MWAKA!

you can fool people for sometimes not permanently, usd 1k it is more than the word little comparec to the wealth of the company!
ok, let the do what they like, we will do too what we like when time is up!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mh Mbowe amesema dunia inashangaa Tanzania ni nchi ya ajabu ambayo watu hawajui kuhoji mashirika yao yanavyofilisiwa na watu wachache. ametolea mfano kukodishwa kwa uwanja wa ndege wa Kilimanjaro(KIA) kwa Dola za kimarekani 1000 kwa mwezi.

Nawasilisha
Ni dola 1,000 kwa mwaka, sio kwa mwezi.
 
Ukweli utabakia kuwa ukweli kuwa Rasilimali nyingi za nchi hii zipo mikononi mwa watu wachache.

Serikali inajua ni nani ana nini na anafaidika na nini?? Sasa wakati umefika kupekua ukurasa mmoja baada ya mwingine.

Watu wasione kuwa ni mwisho,,wapinzani wanatusemea na sisi tunakoleza mambo na kuelemishana juu ya lisemwalo kw amaslahi yetu wenyewe.Waliotaka mageuzi ni watanzania kwa maendeleo ya watanzania.Sasa tusiwe ni watu tuliofubaa fikra eti tusione mabaya na kuyasema.SERIKALI YA CCM NI YA KUHUKUMIWA KIFO MILELE.Tanzania IMEPOTEZA MAFEDHA MEEEEEEEEEEEEENGI KWA MAMBO YASIYO NA MASLAHI KWA TAIFA bali kwa watu wachache walioonekana kama kinara ndani ya chama.

Hebu jamani tusikilizeni pia Hotuba za nyerere na yale aliyokuwa akiyasema kama yanatofauti na yanayoendelea kwa sasa.

MIMI NASEMA UKIUWA KWA UPANGA UTAANGAMIA KWA UPANGA.CCM WAMETUFILISI SASA NI ZAMU YAKO KUANGAMIA KABISA na wala wasije juu.kama si leo then Kesho.MUBARAKA LEO KASIMAMA LUPANGO KUJIBU KESI.HAWAJIFUNZI TUU.mi naumia sana naweza tafuna mtu kabisa.PEOPLEES POWER
 
Mh Mbowe amesema dunia inashangaa Tanzania ni nchi ya ajabu ambayo watu hawajui kuhoji mashirika yao yanavyofilisiwa na watu wachache. ametolea mfano kukodishwa kwa uwanja wa ndege wa Kilimanjaro(KIA) kwa Dola za kimarekani 1000 kwa mwezi.

Nawasilisha
sisi watanzania hatujali hasa unapokuta kitu hakikugusi moja kwa moja....kama watanzania tungekuwa tunajali basi CCM isingekuwa madarakani leo hii...
 
Mh Mbowe amesema dunia inashangaa Tanzania ni nchi ya ajabu ambayo watu hawajui kuhoji mashirika yao yanavyofilisiwa na watu wachache. ametolea mfano kukodishwa kwa uwanja wa ndege wa Kilimanjaro(KIA) kwa Dola za kimarekani 1000 kwa mwezi.

Nawasilisha

ukihoji utaitwa mchochezi - unahamaisha uvujifu wa amani na utulivu - ni vizuri kubakia kimya tu.
 
iko wapi amani tunayoilinda kama hali ndio hii. kama tutaendelea kufumba macho kana kwamba hatuoni na masikio kana kwamba hatusikii then hali itakuwa mbaya sana kadiri siku zinavyokwena na tutaona na kusikia too late.
Tunaenzi amani yetu, ukiuliza utaambiwa unataka kumwaga damu na mchochezi.
 
Tufanyeje sasa?

Tuhoji ilikuwaje maana sisi wenye mali wengi wetu hatujui kimetokea nini mpaka uwanja wetu ume umeuzwa kwa bei chee kabisa. Jamni yaani dolar 1000? hata mimi sijaelewa hivi hii ni biashara kiachaa?
 
Ni dola 1,000 kwa mwaka, sio kwa mwezi.
kuna siku nilimsikia Mbowe akisema maneno hayo nilijua kakosea sasa leo nasikia kwa mara ya pili ndiyo naamini..hii ni hatari dola 1000 kwa mwaka, watanzania hatuana serikali tuna takataka
 
Bado wabongo tunapata mlo angalau mmoja kwa siku, siku tukikosa hata huo mlo mmoja ndo akili zitakuja!! Naweza kusema, watanzania tumeridhika na namna ambavyo maisha yetu yalivyo!! Tunaona wajanja wachache wakijipenyeza kwenye ulaji wanatoka matajiri wa haraka haraka, basi tunapata matumaini na kusema Mpaji ni mungu! na mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe, na hapo ndo akili yetu wengi inagota " No more further thinking".

Cha kushukuru ni kuwa siku hizi leo si kama jana, watanzania wanaelewa taratibu sana, naweza kusema speed ya kuelewa ni ndogo kuliko speed tunayoibiwa. Tuendelee kupiga kelele ili na wenzetu walio bado usingizini waelewe, ili siku moja tukisema basi iwe kweli basi.
 
Give them an inch, they take a yard;
Give them a yard, they take a mile ;
Once a man and twice a child
And everything is just for a while.
It seems like: total destruction the only solution,
And there ain't no use: no one can stop them now.
There ain't no use: no one can stop them now;
Ain't no use: no one can stop them now;
There ain't no use: no one can stop them now.
 
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza aisee. Hivi kweli anayehusika na uhujumu wa ATC bado yuko hai, si ni vyema akajihukumu mwenyewe kabla wananchi hawajachukua sheria mkononi?

Yaani bara zima la Africa ni sisi tu tusiokuwa na ndege tena kwa ajili yake? Hivi mko aware kuwa ni Basil Mramba, Anorld Kileo, na wenzao ndo wanaifikisha ATC hapa?
 
Sawa Mh. Mbowe ila badala ya kusubiri mjadala wa bajeti na wengi wakabahatika kuyajua haya basi ni vyema ukayatoa mengine pia publically ili wezi hao waache uhujumu kwani naamini Mungu atawahukumu kwa wakati.
 
Back
Top Bottom