Leo nimethibitisha mwenyewe hapa kibaha jinsi zitto asivyokubalika kwa watu wa kawaida kabisa katika eneo hili walau. Kila jina lake lilipokuwa likitajwa watu walikuwa wakizomea kuonyesha kumchoka kiumbe huyo
Mbowe Angekuwa amehudhuria shule, usingeandiaka maelezo yote haya! Ungebandika CV yake tu hapa! INGEJIELEZA!
Hakuna ujinga mwingine zaidi ya huu hivi mbowe kwa mambo anayofanya anaona kuwa anasifa za kuwa kiongo wa taifa hili hovyo kabisa some time shule zinasaidia sana.
Performance not equal to CV, Dr Kawambwa vipi CV inasemaje ndugu yangu? Angalia performance yake. Sasa hivi ana project ya kufundisha masomo yote ktk shule za misingi kwa kiingereza. Walimu wako wapi wa kufanya hiyo kazi?
Chadema hawataki kuheshimu sheria za nchi siku wakichukuwa dola sijui itakuaje, tatizo kubwa la Mbowe ni elimu.
Hakuna ujinga mwingine zaidi ya huu hivi mbowe kwa mambo anayofanya anaona kuwa anasifa za kuwa kiongo wa taifa hili hovyo kabisa some time shule zinasaidia sana.
Nasubiri hitima ya chadema ambayo inakuja kutimia mda siyo mrefu.
Hakuna ujinga mwingine zaidi ya huu hivi mbowe kwa mambo anayofanya anaona kuwa anasifa za kuwa kiongo wa taifa hili hovyo kabisa some time shule zinasaidia sana.
Jamani Mbowe ni Janga
Arawa nasikia m23 itahamishia mikutano kasino.huko hakuna utawala.hakutawalikiNipo mkutano wa mbowe hapa kibaha now. Ni saa 12:25 jioni mboww bado anahutubia. Polisi wamekuna kumshusha amegoma hadi saa 12 unusu anasema ndio atashuka na yuko tayari kukamatwa akishuka.
Mgombea wa ubunge ccm 2010 alieshika nafasi ya tatu kura za maoni Dr Rose Japhet kajiunga xhadema na kukabidhiwa kadi na mbowe
Nitawapa taarifa zaidi hapa kinachoendelwa
Jk huwezi kumlinganisha na mtu tapeli wa siasa kama huyu jamaa ni tapeli hata kwenye ndoa.
HivI wewe kwa nini usijitahidi ukaja na mawazo endelevu katika kuchangia? Kila wakati comments zako zimekuwa as if wewe una TATIZO LA KUKAA NA KUFIKIRI KABLA YA KUANDIKA CHOCHOTE! TUPO KUJIFUNZA KWA HIYO HUU MUDA UNAKUFAA KUFANYA HIVYO!
Tangu kuanza kunywa gongo mmekuwa wa ajabu sana.
Hakuna jambo baya katika maisha ya binadamu kama kukosa uelewa. Uduni wa fikira ndio unaofanya baadhi ya watu kuamini toka mioyoni mwao kuwa mbowe ni mkombozi na kiongozi wao.
Hakuna binadamu mwenye akili timamu awezaye kushindana na ukweli, kinyume chake atakuwa na matatizo ya akili.
Mbowe hajawahi na hata siku moja hawezi kuwa mkombozi katika wa mtanzania. Mbowe ni mzee wa fursa. Mahali popote penye fursa mbowe atapambana vikali mno ili aweze kupiga pesa.
Mengi yanaweza kusemwa sana, lakini ukweli ni kwamba mbowe hana tofauti yoyote na mafisadi wengine wa magamba.
Katika Tanzania hii bado hatujapata viongozi wenye nia na lengo moja la kumkomboa mtanzania masikini. Viongozi tulionao wakati huu ni wachumia tumbo tu. Wawe viongozi wa cdm au maccm hakuna tofauti.
Vijana zindukeni, acheni kutumika kwa kuwa mitaji ya wanasiasa wanafiki wanaosahao yote wanayoahidi mara tu wangiapo madarakani.