bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 496
- Thread starter
- #121
Zitto kaishia ktk vijiwe palipo na makuli,warangi, wana kigoma wenye dhiki ..hao ndio wana hadithi versions nyingi sana za kumtukuza Zitto,za sijui dhulma anayofanyiwa,za sijui katikisa wazee wa kichaga,sijui nini nanini......
Kama ana akili timamu Zitto basi ajifikirie upya kuhusu hatma yake kisiasa na asidanganywe na wapambe wake