Mbowe awagomea polisi kushuka jukwaani Kibaha

Mbowe awagomea polisi kushuka jukwaani Kibaha

Hakuna ujinga mwingine zaidi ya huu hivi mbowe kwa mambo anayofanya anaona kuwa anasifa za kuwa kiongo wa taifa hili hovyo kabisa some time shule zinasaidia sana.
wazeee WA democracy naonanmnaendelea kuparurana tuuuu kesho Nape Makonda na Malecela watakujibuni tena hahahahaaha
 
Kaka nakubaliana nawe kabisa. Huyu Simiyu Yetu ana tatizo la kufikiri na ni miongoni mwa watu wanochangia kihovyo sana. hana hoja zaidi ya kucome up vijikejeli na hawezi kujenga hoja yoyote yenye mshiko. Kila wakati ukiona post yake, RITZ, Zemarcopolo, sumu, Taswira, Chris Lucos, CCM2015 na wengine. Wana hoja dhaifu na wanaanzisha dukukuku zao kuaminisha umma ilimradi wamepost jambo baya kwa Chadema au wanopinga ufisadi.Ndo vijana wa CCM imewalea na ndo wanajipambanua kujibu hoja nzito.

Kwa kuongezea tu Mkuu Msalani,Lizaboni,Mingoi,Chabruma..Wao ni Kuishambulia CDM tu hata katika Mambo yanayo gusa maslahi ya Taifa..Huwa Naumia sana..

Hili ndio lengo la JF..??

Hawa kweli ni GT..??

Mara Chache huwa na kubaliana na hawa Faizafoxy,Ritz,Masyopakindi..Wanakuwa na hoja za msingi..

Nawafagilia sana Kiranga na The big show...Wao wanajadili hawana ushabiki..Hapa Nimemtoa Pasco kwa muda Ha ha haa ..Bado sija-msoma vizuri 😉
 
Last edited by a moderator:
Nasubiri hitima ya chadema ambayo inakuja kutimia mda siyo mrefu.

Ha ha ha naona wewe ni mzee wa kinyumenyume,naona ndio unasema unasubiri hitima ya ccm inayozidi kumeguka vipandevipande poleni'
 
Hiv wewe kwa nini usijitahidi ukaja na mawazo enedelefu katka kuchangia? Kila wakati comments zako zimekuwa as if wewe un TATIZO LA KUKAA NA KUFIKIRI KABLA YA KUANDIKA CHOCHOTE! TUPA KUJIFUNZA KWA HIYO HUU MUDA UNAKUFAA KUFANYA HIVYO!

mbowe hana sifa za kuwa Raisi,ni muhuni,hakuna ubishi,mambo anayozungumza sio mapya ni ya kawaida sana ambayo kila anaelepewa nafasi anaweza kuzungumza,
 
Wanawazia ile bange iliyokamatwa iko pale kwa yusuph mbezi gunia 40lazima itoweke tu
 
....Gamba limedata !!!

Makubwa, kweli na wewe unajilinganisha na upeo wa Mbowe???Kuna uzi kule wa Lowasa, mbona mnaukimbia??

Hiv wewe kwa nini usijitahidi ukaja na mawazo enedelefu katka kuchangia? Kila wakati comments zako zimekuwa as if wewe un TATIZO LA KUKAA NA KUFIKIRI KABLA YA KUANDIKA CHOCHOTE! TUPA KUJIFUNZA KWA HIYO HUU MUDA UNAKUFAA KUFANYA HIVYO!

Mbowe ni kiongozi bora,kuliko yeyote ktk vyama vya siasa tanzania.chini ya m/kiti mbowe chadema imefanikiwa sana,kutoka wabunge 11 mpaka 49.hongera mbowe.

genye zinakufanya mwehu..

Vipi police wamesha kamata lile jamaa linalo uuwa watu kule musoma....au hata wale wanao uwa wanawake kwa kuwakata shingo?
Mbowe yupo peupeeeeee hana hata rungu wala hapigi mtu

Mbowe ameeleza kuwa hakuna sheria per se inayotaka mikutano kufungwa saa 12 kamili bali sheria ya uchaguzi ambayo haiko applicable hapa. Wakuu wanasaini kadi za uanachama hapa no

pole sana gamba! tupo hala furahisha tunateketeza magamba!!! teh teh teh teh teh teh teh teh teh.......

Kwa akili ya Kumeza ya Zitto hawezi digest hili....Zitto hadi anakwenda kaburini hatakaa aelewe kwanini kil akaijitahidi ongeza degree bado akija kwa Mbowe anakuta km vile Mvinyo unavyozidi kuwa bora kwa Umri...

Sikuwa hapa jukwaani kwa muda, bado una akili zako za matope!...ccm kila mtu ni mpiga ramli kuitabiria chadema,mmelogwa nie si bure

Magamba waajabu...yanajitahidi kuidhoofisha cdm yameshindwa sasa yanatapatapa na sababu zisizo za msingi. Watu ktk mikutano hiyo watawaona askari wapuuzi wakikatisha elimu ya m4c.

hizo ni ndoto za mchana! ukitoa watoto wanao zaliwa kwenye familia za mafisadi waliobaki woooote ni chadema amini usiamini.kufikiri CHADEMA itakufa ni sawa na kusema jua likizama halita chomoza. ninyi wenyewe hamlali kwasababu CHADEMA imekaribia kuwanyang'anya tonge mdomoni.

Tatizo ni kuwa mzungu aliondoka na muda akatuachia saa na ndiyo maana policcm kwa kutumika wako busy kuangalia saa. Kamanda mbowe anajali muda na siyo saa,lazima aukomboe wakati na siyo SAA.Do you get me POLICCM?

This time mna mpango wa kuua kiongozi wetu wa CHADEMA wewe mdada?

Hiyo HITIMA imenitisha!

Simiyu yetu utakufa kwa pressure. Muda unaotumia kubeza CDM humu tafuta kitu cha kukuingizia kipato, sio Buku 7 ambazo hazina kodi wala hukatwi nssf, pspf etc

Chiku zote amani huvurugwa na mapolisi na wala chio vyama vya wapinzani ujue. Polichi wakiwa wachitarabu amani tele tu. Wakitaka kutumiwa na ccm bachi! Leo labda Nape kachahau kuwapa vijichenti.

Kaka nakubaliana nawe kabisa. Huyu Simiyu Yetu ana tatizo la kufikiri na ni miongoni mwa watu wanochangia kihovyo sana. hana hoja zaidi ya kucome up vijikejeli na hawezi kujenga hoja yoyote yenye mshiko. Kila wakati ukiona post yake, RITZ, Zemarcopolo, sumu, Taswira, Chris Lucos, CCM2015 na wengine. Wana hoja dhaifu na wanaanzisha dukukuku zao kuaminisha umma ilimradi wamepost jambo baya kwa Chadema au wanopinga ufisadi.Ndo vijana wa CCM imewalea na ndo wanajipambanua kujibu hoja nzito.

vipi picha mkuu? Je mbowe amekamatwa na polis?

Star TV wametupa haki Mkutano wa DR. Slaa Mwanza. Viva Star TV, Viva ITV (Mbowe katembelea jimbo la Kikwete shule, kuna shule ina mwalimu mmoja tu na shule imepinda mbaya huku Mama Salma anapeleka Tablet kweke)

Tuko mbali kaka. Hivi unajua Uchumi wa Uingereza kipindi cha John Major ndo ulikuwa Juu kiliko kawaida na majo alikuwa sio msomi!!? Mbowe kaenda shule, na ana kipaji cha Uongozi. Kuwa taarifa ako A leader is 50% born na 50% anafanywa na watu (kupitia elimu/kujifunza) na vyote hivi mbowe anavyo kaka ndo maana kila siku CCM inazidi kufa kupitia nguli wa siasa na mtaalamu Mbowe na team nzima ya Mapambano. Chadema inafanikiwa kwa kuwa wanafanya siasa kisayansi na haya yote ni matunda ya upngozi wa mbowe. Ndo maana mnahanya sana na hamlali, mnajifilisi kuhonga honga wasaliti ili Chadema ife kumbe ndo mnachochea Mafanikio. Kwa nini hamuongelei CUF, NCCR, TADEA,UDP,CHAUMA, na vinginevyo? Acha Chadema ife kwa kuwa na mbowe haikuhusu, ongelea CCM yako inayoenda kaburini. Mmebaki mnawalagai wananchi kwa boda boda huku mkishinda kutatua kero za msingi. Boda boda zitaondoa Umasikini kama katibu wenu anavyowalaghai wanaMbeya? Wapeni mashamba walime na sio boda boda. Wakiwa na boda boda hizo feki za kichina watakula nini? CCM kweli mmeshikwa pabaya sasa.

Naona na ninyi magamba leo mmekuwa na maandamano ya chama chenu kilichokosa dira na kinakaribia kuzikwa kwa kuwa hata birth day yake mmesahau kuwa ni tarehe 5 mwezi wa pili, na kesho nasikia mna maandamano mengine kule mbeya. SASA mlibatiza chadema chama cha maandamano, ninyi mnafanya nini? Nyani haoni kundule!!

Hakuna jambo baya katika maisha ya binadamu kama kukosa uelewa. Uduni wa fikira ndio unaofanya baadhi ya watu kuamini toka mioyoni mwao kuwa mbowe ni mkombozi na kiongozi wao.

Hakuna binadamu mwenye akili timamu awezaye kushindana na ukweli, kinyume chake atakuwa na matatizo ya akili.

Mbowe hajawahi na hata siku moja hawezi kuwa mkombozi katika wa mtanzania. Mbowe ni mzee wa fursa. Mahali popote penye fursa mbowe atapambana vikali mno ili aweze kupiga pesa.

Mengi yanaweza kusemwa sana, lakini ukweli ni kwamba mbowe hana tofauti yoyote na mafisadi wengine wa magamba.

Katika Tanzania hii bado hatujapata viongozi wenye nia na lengo moja la kumkomboa mtanzania masikini. Viongozi tulionao wakati huu ni wachumia tumbo tu. Wawe viongozi wa cdm au maccm hakuna tofauti.

Vijana zindukeni, acheni kutumika kwa kuwa mitaji ya wanasiasa wanafiki wanaosahao yote wanayoahidi mara tu wangiapo madarakani.
 
msiwalaumu hao polisi jaman,,huwa wanatumwa na wakubwa zao wawadhibit chadema.kuanzia 2016 mtashuhudia polisi haohao watawageukia ccm upinzan ukichukua nchi
 
Tuko mbali kaka. Hivi unajua Uchumi wa Uingereza kipindi cha John Major ndo ulikuwa Juu kiliko kawaida na majo alikuwa sio msomi!!? Mbowe kaenda shule, na ana kipaji cha Uongozi. Kuwa taarifa ako A leader is 50% born na 50% anafanywa na watu (kupitia elimu/kujifunza) na vyote hivi mbowe anavyo kaka ndo maana kila siku CCM inazidi kufa kupitia nguli wa siasa na mtaalamu Mbowe na team nzima ya Mapambano. Chadema inafanikiwa kwa kuwa wanafanya siasa kisayansi na haya yote ni matunda ya upngozi wa mbowe. Ndo maana mnahanya sana na hamlali, mnajifilisi kuhonga honga wasaliti ili Chadema ife kumbe ndo mnachochea Mafanikio. Kwa nini hamuongelei CUF, NCCR, TADEA,UDP,CHAUMA, na vinginevyo? Acha Chadema ife kwa kuwa na mbowe haikuhusu, ongelea CCM yako inayoenda kaburini. Mmebaki mnawalagai wananchi kwa boda boda huku mkishinda kutatua kero za msingi. Boda boda zitaondoa Umasikini kama katibu wenu anavyowalaghai wanaMbeya? Wapeni mashamba walime na sio boda boda. Wakiwa na boda boda hizo feki za kichina watakula nini? CCM kweli mmeshikwa pabaya sasa.
Mbowe Angekuwa amehudhuria shule, usingeandiaka maelezo yote haya! Ungebandika CV yake tu hapa! INGEJIELEZA!
 
Kwa akili ya Kumeza ya Zitto hawezi digest hili....Zitto hadi anakwenda kaburini hatakaa aelewe kwanini kil akaijitahidi ongeza degree bado akija kwa Mbowe anakuta km vile Mvinyo unavyozidi kuwa bora kwa Umri...

Leo nimethibitisha mwenyewe hapa kibaha jinsi zitto asivyokubalika kwa watu wa kawaida kabisa katika eneo hili walau. Kila jina lake lilipokuwa likitajwa watu walikuwa wakizomea kuonyesha kumchoka kiumbe huyo
 
Hakuna ujinga mwingine zaidi ya huu hivi mbowe kwa mambo anayofanya anaona kuwa anasifa za kuwa kiongo wa taifa hili hovyo kabisa some time shule zinasaidia sana.

wee unawashwa sana,mbowe huwezi mfananisha na mtu ndani ya ukoo wako wa ccm,nyie ni magamba tu mtabaki na ugamba wenu.
 
vipi picha mkuu? Je mbowe amekamatwa na polis?

Hajakamatwa wala kuulizwa lolote na mambo yameisha kwa amani sana tu. Sasa wapo katika mkutano wa ndani kwenye hoteli moja hapa mjini kibaha
 
[quote name="bibikuku" post=8572063]Nipo mkutano wa mbowe hapa kibaha now. Ni saa 12:25 jioni mboww bado anahutubia. Polisi wamekuna kumshusha amegoma hadi saa 12 unusu anasema ndio atashuka na yuko tayari kukamatwa akishuka.
Mgombea wa ubunge ccm 2010 alieshika nafasi ya tatu kura za maoni Dr Rose Japhet kajiunga xhadema na kukabidhiwa kadi na mbowe
Nitawapa taarifa zaidi hapa kinachoendelwa

Mgombea u raisi asiyefata sheria! Ndio tuwape nchi hawa wahuni! Think twice![/QUOTE]
Sheria ipi unayoisema? Unaweza kuiweka wazi hapa na jinsi kifungu kinavyoeleza ili tujiridhishe wote bila chembe ya shaka?
 
And you guys mnashangilia? You think that is leadership, kuvunja na kukataa amri halali? Mnafundisha nini vijana wetu-kwamba ni sawa kuvunja sheria, kukaidi amri? Mnatengeneza mazingira magumu sana ya kutawala mtakapokabidhiwa nchi (if this will ever happen anyway)!!
 
Mbowe anagomea sheria za nchi, alafu anataka wanachama wa chadema wafuate sheria za chadema
 
Hakuna ujinga mwingine zaidi ya huu hivi mbowe kwa mambo anayofanya anaona kuwa anasifa za kuwa kiongo wa taifa hili hovyo kabisa some time shule zinasaidia sana.
mwaka huu mpaka
mapovu yakukauke kudadadeki !
 
Back
Top Bottom