Mbowe awagomea polisi kushuka jukwaani Kibaha

Mbowe awagomea polisi kushuka jukwaani Kibaha

Hilo mbona linajulikana mbowe nimpiga dili tu kama wengine anajaribu kuwahada wasiojitambua eti kujivika kilemba cha uzalendo mbowe nifisadi mwizi kama wezi wengine tu
 
Ukiona mwizi anaiba karibu na kituo cha polisi na kukimbilia polisi ujue amemkumbuka mume wake jela, Mbowe kuna kitu anaki miss ndiyo maana anafanya maksudi.

Nawe je! aisifiae mvua imemnyea.
 
Mbowe ni kiongozi bora,kuliko yeyote ktk vyama vya siasa tanzania.chini ya m/kiti mbowe chadema imefanikiwa sana,kutoka wabunge 11 mpaka 49.hongera mbowe.

Hilo lina mjadala. Ina maana hao wabunge wote ni vichwa maji? tumewachagua wabunge kutokana na uwezo wao sio uwezo wa mwenyekiti wao, mtu kama zitto kabwe, halima mdee, lissu hawajachaguliwa kwa sababu yoyote ile isipokuwa weledi wao. Unapoanza kuleta hizi siasa za 'zidumu fikra za mwenyekiti' ndio unaanzisha udikteta wa mtu kujiona yeye ndio yeye, na sasa hataki kuachia wenzie madaraka kwa sababu ya watu kama wewe mnao-credit kila mafanikio kwake.
Wabunge ambao viongozi wa chadema wameongeza ni wale wa viti maalum, akina Joyce mukya, josephine mushumbusi na wengineo including wake zao, madada etc. Hao ndio ungewahesabu halafu ungewacredit kwa Mbowe, mbunge anayesimama jukwaani kupiga kampeni akachaguliwa huyu sio tunda la mwenyekiti!
Tukitumia hoja yako basi viongozi bora kabisa wa vyama vya siasa (wenyekiti) wangekuwa CCM kwa sababu wao wana wabunge majority toka mfumo wa vyama vingi uanze!
 
Jamani Mbowe ni Janga

unafikiri atakuwa janga kuliko wauza unga na pembe za ndovu??? Bila kuwa sahau wabakaji??? ccm mbona mnajifanya hamuoni madudu yenu ambayo ndio makubwa na yakutisha zaidi?
 
Pole sana mkuu MSALANI kwa sababu jina lako na komenti zako zinaonyesha kweli 'ULIHUDHURIA' shule badala ya kwenda kusoma na kuelimika! Siku utakapozinduka kutoka usingizini ndipo utagundua ni namna gani upo nyuma ya muda!
Mbowe Angekuwa amehudhuria shule, usingeandiaka maelezo yote haya! Ungebandika CV yake tu hapa! INGEJIELEZA!
 
Last edited by a moderator:
Salam, wana JF,

Jana katika mkutano wa m4c-opd uliokuwa ukiongozwa Mh Freeman Mbowe mjini kibaha makada watatu wa ccm walijiunga chadema na kupewa kadi na mwenyekiti wa chama. Makada hao ni:

Dr. Rose Nkonyi ambaye alikuwa mgombe ubunge huko Kibaha.
Joseph Kachale ambaye alikuwa Mjumbe wa Kamati wa Utekelezaji CCM (WILAYA)
Hafidh Mudhihiri ambaye alikuwa Katibu wa Vijana Tawi la Mailimoja

Source: Tanzaniadaima 02/02/2014
 
-------- ukimzoeza kumskiliza atakuosesha usingizi maana anaongea bila kujua anacho9onga kama kina tija au la, mbowe allifanya vema kugoma kushuka, kwani polisi wanajua chopa nani anaweka mafuta??? mbona JK anahutubia hadi saa 1 usiku??? hashushwi jukwaani??? ujinga wa ppolisi isiwe janga kwa mtanzania kwa ujumla wake
 
ILi mradi waje na adabu zao, hatua ya 6 kati ya saba ktk ukombozi ndo CDM ipo
 
cdm ndiyo iliyobeba matumaini ya watanzania , hivyo yeyote mwenye nia njema na nchi hii ni lazima ajiunge huko .
 
Safari inatia matumaini kabisa,japo ni ngumu lkn mwanga upo mbele yetu,tuendelee kuwatia moyo viongozi wetu,kusaidia kwa hali na mali CDM ishike dola 2015.........
 
Tuendelee kushikamana safari ya ukomboz imejaa matumaini ya ushindi.!
 
cdm ndiyo iliyobeba matumaini ya watanzania , hivyo yeyote mwenye nia njema na nchi hii ni lazima ajiunge huko .

Nimeweka picha chache kuungana mkono kauli yako juu ya chadema kubeba matumaini ya watanzania, nitaweka pia za waliojivua gamba jana pale kibaha . picha nilizoweka hapa ni za jana mkutano wa Kibaha, ambako watu walirudisha magamba
 

Attachments

  • 1391329703172.jpg
    1391329703172.jpg
    107.2 KB · Views: 97
  • 1391329789921.jpg
    1391329789921.jpg
    103.8 KB · Views: 109
  • 1391329962956.jpg
    1391329962956.jpg
    87.5 KB · Views: 110
  • 1391330027204.jpg
    1391330027204.jpg
    65.1 KB · Views: 118
  • 1391330069900.jpg
    1391330069900.jpg
    101.6 KB · Views: 92
  • 1391330155815.jpg
    1391330155815.jpg
    98.1 KB · Views: 90
  • 1391330202141.jpg
    1391330202141.jpg
    194.1 KB · Views: 98
Leo nimethibitisha mwenyewe hapa kibaha jinsi zitto asivyokubalika kwa watu wa kawaida kabisa katika eneo hili walau. Kila jina lake lilipokuwa likitajwa watu walikuwa wakizomea kuonyesha kumchoka kiumbe huyo
Zitto kaishia ktk vijiwe palipo na makuli,warangi, wana kigoma wenye dhiki ..hao ndio wana hadithi versions nyingi sana za kumtukuza Zitto,za sijui dhulma anayofanyiwa,za sijui katikisa wazee wa kichaga,sijui nini nanini......
 
Nimeweka picha chache kuungana mkono kauli yako juu ya chadema kubeba matumaini ya watanzania, nitaweka pia za waliojivua gamba jana pale kibaha . picha nilizoweka hapa ni za jana mkutano wa Kibaha, ambako watu walirudisha magamba

Asante sana kwa hiyo picha ya mwisho. Inaonyesha, kwa mara nyingine tena, jinsi Watanzania wanavyowasikiliza viongozi wa CDM kwa makini.

Kwa hali ilivyo sasa, kama sio uwepo wa CDM, Watanzania wangekuwa watu waliojikatia tamaa. Amani na utulivu uliopo Tanzania sasa vinatokana na matumaini waliyonayo Watanzania kwamba hali itabadilika siku za karibuni.

Mabadiliko yanayotegemewa hayawezi kuletwa na CCM. Chama kilichotawala miaka hamsini bila kuweza kuwapatia wananchi maji safi, elimu na umeme kimeshatoa uthibitisho wa kutosha kwamba hakiwezi.

Polisi wamemtaka Mbowe asiongee zaidi kwa kisa gani? Hawakuona utulivu na usikivu mkubwa uliokuwepo? Ni robots wa ccm?
 
Back
Top Bottom