Mbowe awagomea polisi kushuka jukwaani Kibaha

Mbowe awagomea polisi kushuka jukwaani Kibaha

Mbowe ni kiongozi bora,kuliko yeyote ktk vyama vya siasa tanzania.chini ya m/kiti mbowe chadema imefanikiwa sana,kutoka wabunge 11 mpaka 49.hongera mbowe.
Kwa akili ya Kumeza ya Zitto hawezi digest hili....Zitto hadi anakwenda kaburini hatakaa aelewe kwanini kil akaijitahidi ongeza degree bado akija kwa Mbowe anakuta km vile Mvinyo unavyozidi kuwa bora kwa Umri...
 
Hakuna ujinga mwingine zaidi ya huu hivi mbowe kwa mambo anayofanya anaona kuwa anasifa za kuwa kiongo wa taifa hili hovyo kabisa some time shule zinasaidia sana.

hivi mambo ya mbowe ni zaidi ya ubakaji vitoo na uuzaji wa meno ya tembo na madawa ya kulevya??? Au ndo unatafuta cha kukupnguzia jazba? zero ccm,, ptuuuu.
 
kikwete alifika Magu saa 12na kuhutubia hadi saa 1, tia upumbafu wako hapa!
karibu Furahisha upate elimu ya uraia ujitambue!!! pamoja daimaaaaaaaaaaaaaaaa
Jk huwezi kumlinganisha na mtu tapeli wa siasa kama huyu jamaa ni tapeli hata kwenye ndoa.
 
hivi mambo ya mbowe ni zaidi ya ubakaji vitoo na uuzaji wa meno ya tembo na madawa ya kulevya??? Au ndo unatafuta cha kukupnguzia jazba? zero ccm,, ptuuuu.
Haya yote yanafanyika chadema au hujui nani anafanya.
 
Magamba waajabu...yanajitahidi kuidhoofisha cdm yameshindwa sasa yanatapatapa na sababu zisizo za msingi. Watu ktk mikutano hiyo watawaona askari wapuuzi wakikatisha elimu ya m4c.
 
Polis wajinga sana. Sheria ipi inayotaka mikutano isiyo ya kampeni kuisha saa 12.Ujinga ujinga tuuuu.Mangu si uwasomeshe hao?
 
Hakuna ujinga mwingine zaidi ya huu hivi mbowe kwa mambo anayofanya anaona kuwa anasifa za kuwa kiongo wa taifa hili hovyo kabisa some time shule zinasaidia sana.

Ulitaka awe kama huyu wenu....basi huyu kwa kufanya hivi anafaa kuwa kiongozi wa taifa
 

Attachments

  • 1391271521346.jpg
    1391271521346.jpg
    49.2 KB · Views: 248
Nasubiri hitima ya chadema ambayo inakuja kutimia mda siyo mrefu.

hizo ni ndoto za mchana! ukitoa watoto wanao zaliwa kwenye familia za mafisadi waliobaki woooote ni chadema amini usiamini.kufikiri CHADEMA itakufa ni sawa na kusema jua likizama halita chomoza. ninyi wenyewe hamlali kwasababu CHADEMA imekaribia kuwanyang'anya tonge mdomoni.
 
Tatizo ni kuwa mzungu aliondoka na muda akatuachia saa na ndiyo maana policcm kwa kutumika wako busy kuangalia saa. Kamanda mbowe anajali muda na siyo saa,lazima aukomboe wakati na siyo SAA.Do you get me POLICCM?
 
Mbowe ameeleza kuwa hakuna sheria per se inayotaka mikutano kufungwa saa 12 kamili bali sheria ya uchaguzi ambayo haiko applicable hapa. Wakuu wanasaini kadi za uanachama hapa no

Polisi wanapenda kukariri sometimes
 
Back
Top Bottom