Mbowe atoboa siri

CDM inahitaji sasa kujikita vijijini sana,pia ikiwezekana TV na redio vizinduliwe mapema ili wananchi wengi zaidi waweze kufikiwa
 
kudos to CHADEMA, Hakuna majungu, yaliyosemwa na mheshimiwa Mbowe can be witnessed na kila mtu aliyefuatilia chaguzi za udiwani pamoja na ya kuwania kiti cha ubunge arumeru, Sasa iliyobaki ni kutekeleza yale yote mliyoahidi wananchi kuhakikisha mnaenda beyond their expectation...
 
Uwezo wake Nassari ni mdogo. Sijui kama ataweza kutekeleza ahadi. Wabunge wengi wa cdm wameshindwa kazi. Angalia mfano majimbo ya kawe na ubungo. Uozo mtupu hakuna maji, foleni za magari, nk. Angalau ZK amefanya kazi ya kuonekana.

wewe kwa fikra zako ndo maana umeona uwezo wa Nassar n mdogo.pole yako!ila kiufup n kwamba wana kaz ngum sana kutoa magamba yote Ccm iliyobadika kwa miaka50 ilyopita ndo maana wanachukua mda kutekeleza ahad.Nassar kaanza na Kas ya Ajabu!kabla hata hajaapishwa Visima viwil vya maj kwa wanaARUMERU vinajengwa!
 
uwezo wake nassari ni mdogo. Sijui kama ataweza kutekeleza ahadi. Wabunge wengi wa cdm wameshindwa kazi. Angalia mfano majimbo ya kawe na ubungo. Uozo mtupu hakuna maji, foleni za magari, nk. Angalau zk amefanya kazi ya kuonekana.

hivi foleni za magari zinaweza kumalizwa na mbunge? Kikwete mwenyewe kashindwa na hata hivyo si kazi ya mbunge kuondoa foleni yeye ni kuisimamamia serikali tatizo isha jengeka kwamba maendeleo hulwtwa na mbunge, hata kama mbunge ana pesa kiasi gani hawezi leta maendeleo peke yake,
 
Mh.mbowe na timu nzima ya cdm Mungu awalinde,ninawaombea muwe na afya njema na nguvu. Mkaepushwe na maradhi ili tupambane kuokoa nchi yetu.pia poleni kwa mvua ya jana.niliamini watu tunakipenda chama chetu,maan ile mvua hatukukimbia uwanjani! Peoplezzzzzzzzz............Aluta continua
 
Tunaishukulu chadema kwa kututafutia mtu ambae ali tusaidia kutuwakilisha sisi wana kilombero ambae ni marehemu regia mtema mungu amlaze mahali pema peponi amina.Chadema kilombero imekua kila mtu anaikubari hata ushindi wa arumeru tume fanya sherehe mji wa mlimba.Sina zaidi chadema moto 20!5.
 
Katika mkutano wa leo mbowe ametoboa siri ya mafanikio ya CHADEMA kuwa ni umoja walionao katika uongozi wao huku wabunge wao wakiwa tayari kutumika katika ujenzi wa chama hicho. Amewaomba wameru wasishangae kumuona Nasari akiwa Lindi au Mtwara katika shughuli za ujenzi wa Taifa kwani mbunge wa Chadema ni mbunge wa Taifa. Hayo aliyasema kukiwa na mvua kubwa iliyoendelea katika mkutano wa shukrani kwa Wameru kukichagua Chadema katika viwanja vya Leganga USA leo jioni.

Kwa kuanza Nassari aje kufungua matawi ya chama SUA-Morogoro 2012
 
hongera kamanda mbowe kwani nina taarifa ulitumia gari lako kukimbiza gari la ccm lenye kura feki.hii sio kazi ya mwenyekiti wa chama lakini kama mwenyekiti umeonyesha umuhimu wa kuwa front line.

Kamanda Mbowe jembe la Majembe yote.Kama WaTZ wangekuwa na fikra kama zangu,ningewasihi tumchague tena kamanda huyu uenyekiti wa CDM taifa ili azidi kukiimarisha chama na hatimaye 2015 Dr aingie magogoni
 
kudos to CHADEMA, Hakuna majungu, yaliyosemwa na mheshimiwa Mbowe can be witnessed na kila mtu aliyefuatilia chaguzi za udiwani pamoja na ya kuwania kiti cha ubunge arumeru, Sasa iliyobaki ni kutekeleza yale yote mliyoahidi wananchi kuhakikisha mnaenda beyond their expectation...

Ndo kinachotakiwa ili kujiongezea majimbo mengi pamoja na kuichukua nchi uchaguzi ujao
 
Chezea ZITTO weye...Katuunganisha wana CDM Mwanza kwenye kinyang'anyiro cha udiwani kata ya Kirumba...mwanzo mwisho na tukaibuka kidedea.

Huyu zitto ni ndumila kuwili tu na iko siku hili suala litajidhihirisha
 
Mh.mbowe na timu nzima ya cdm Mungu awalinde,ninawaombea muwe na afya njema na nguvu. Mkaepushwe na maradhi ili tupambane kuokoa nchi yetu.pia poleni kwa mvua ya jana.niliamini watu tunakipenda chama chetu,maan ile mvua hatukukimbia uwanjani! Peoplezzzzzzzzz............Aluta continua

Poweeeeer!
 
Kweli nimeamini nchi inajengwa na wananchi wenyewe kama watakuwa na kiongozi mzalendo ambae atawasimamia vyema ktk shughuli za maendeleo kama alivyofanya sumari ndani ya siku 2 visima vikawa teyari. ccm wangeonyesha ushirikiano mdogo mdogo kama huo si ndani ya hii miaka 50 ya kuwa na mkoloni mweusi tungemaliza shida ndogondogo kama hizo!
 
ukweli ni kwamba pasipo kujitoa hata kwa gharama ya kuutoa uhai ni vigumu kuleta mabadiliko katika jamii . hivyo ni lazima tujifunze kuwa kuthubutu kwa weza kubadili kesho yetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom