Mbowe atoboa siri

Ombi kwa makamanda mwaka 2015 iwe marufuku kwa wabunge wa ccm kusema wamepita bila kupingwa,so tuhamasishe vijana wapambane kuikomboa nchi hii, swala la vijana taifa la kesho marufuku,kwani vijana ni taifa la leo.
 
Wale vichenchede wa CCM waliokuwa wapo busy kusema CHADEMA haimtumii Zitto Arumeru mbona wamekimbia?
Wanafikiri CHADEMA ni sawa na CCM, hakuna mpangilio!!

CHADEMA ilijipanda na wabunge wake wakapewa majukumu, Zitto akiongoza mapambano Mwanza..........Ile kata ya mwanza ilikuwa sawa na mapambano ya Ubunge!!!

Vichwa vingine vilikuwa Liziboni na Kiwira, vingine Vijibweni........

Sio CCM wao kuanzia mwenyekiti mstaafu mpaka mpiga taarabu wanarundikana sehemu moja!!

Naomba kutoa wazo, kwa nini yule Mbunge na waziri ambaye ofisiyake ipo magogoni asihamishiwe makumbusho ya taifa?

1) ni mzee sana
2) is full of old nonsense
3) Mbea huyoooo...balaaa
4) anafanana na nalilii wale wa kule game reserve ya nanilii
5) Tungependa afanyiwe analysis kwa kutumia carbon 14 tujue how far back aliachana na ndugu zake kule naniliu yeye akaja town!!
 
Amin amin nawaambieni, halitasalia jiwe (magamba) hata moja ambalo halitafunuliwa!!
Tutawaendekekeza CCM hadi lini?
Kijana amka....unga mkono mabadiliko....unga mkono CDM.
Ni sisi.....TWAWEZA!
 
I like his leadership becasue always a Leader is a Ladder for others to incline to the Top!
May the Spirit of Wisdom rest upon you forever!
 
Peoples Powerrrrrrrrrrrrrr!!!!


Huu ni msako wa lango hadi lango mpk 2015!
Mpk mafisadi wajisalimishe mchana kweupe!

Hakuna lisilowezekana.
Wao wana pesa,SISI TUNA MUNGU ALIYE HAI!!
 
I like his leadership becasue always a Leader is a Ladder for others to incline to the Top!
May the Spirit of Wisdom rest upon you forever!
 
Aksante sana Mbowe alws watu wanakuamini wanawapemi support naomba msiwaaangushe wananchi hata kidogo,Tujitahidi katika kutekeleza ahadi kabisa na chama wala kisiyumbishwe na mambo madogo madogo kama hayooo pamoja sanaaaaa
 
Ruvuma usisahau kamanda Mbowe. Huku kila kitu ni shagalabagala na wananchi wamekuwa wakidhulumiwa mazao yao. Wanaruvuma wanahitaji matawi mengi hadi vijijini. Chama makini huzoa wanachama kwa kasi ya ajabu. Viva CHADEMA.
 
Mungu akupe akupe hekima zaidi. Hakika wewe ndio jembe la ukweli. Naamini kwa uongozi wako CDM tutafika mbali katika harakati za ukombozi.
 
Sahv Boeing la makamanda wa CDM liko kwenye takeoff tayari kukaa level 2015...cha msingi tunamsihi rubani wetu kamanda Mbowe ahakikishe abiria wote wafunge mikanda ili asitokee abiria yeyote anabaki nyuma


Hongera makamanda wote,wapambanaji wote na wapenda amani popote mlipo Tz,Afrika ama kwingineko hakika 2015 ni mwaka wa kukata mirija yote ya unyonyaji hapa Tz
 
Natamani Marehemu Regia Mtema angekuwa hai. Nimemiss updates zake hususani katika matukio kama haya! R.I.P Kamanda.
Chadema hongereni sana!


Thank you Chadema; you did it in Arumeru as a present to the late REGIA MTEMA!!
 
Chama langu chadema ninavyokupenda, wallah nitakunywa sumu juu yako, gamba lolote likileta hujuma juu yako, vijana wote tufunge mikanda 2015, ikaribu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom