Mbowe atikisa gereza la Lema

hivi awa mashoga wa kiingereza wanatutaa nini?haweshi kujaza Tz
na Sirro wamemwondoa mwanza kwa misimamo yake ya maana na kupenda haki sometimes (nakumbuka siku maarum ya matokeo ya wenje vs yule mhuni)

Lema apewe kibali cha kufanya mikutano na wanainchi,uvccm wao wana haki zaidi ya watanzania wengine?na hao al-shabab wamekufa kwani kwa ujio wa uyo shoga?
pathet ic Tanzanian police na ccm
 
Upuuzi mtupu.

CDM mnavuruga maisha na shughuli za kiuchumi za Wana-Arusha. Vurugu zenu na maandamano ya kijinga havina tija kwetu.

Tumetambua tulifanya kosa kubwa kuwapa dhamana ya kutuongoza. Hatutarudia kosa 2015.

Wewe na familia yako?
 
Lema kaumbuka na siasa zake uchwara.
Alikuwa anatishishia nyau. Chamtemakuni kakiona.

Walikiona cha mtema kuni ni police wa magamba si umesoma hapo? Makamishna wameenda kumbembeleza akubali kutoka mahabusu ili Arusha iwe na amani! Mmekubali sasa eh? Lema kishawaambia labda mumtishie kingine sio jela wala kumuua! Kama haogopi kutishiwa kufa unadhani mtamtishia nini zaidi ya hapo? Lema kishapuliza kipenga hakuna kurudi nyuma!
 
I thought Kivuyo anapenda kuwaona wapinzani wametoweka huku nje wawafungie wote so anaenda kufanya nini ? RCO yeye si yuko Arusha na ukweli anaujua kuna shida gani hadi aende gerezani kusema na Lema huko ?Mpwapwa si kasema Lema ana kesi na OCD wake anachunguzwa why tena mhalifu kama walivyo muita mnaenda kuomba atoke ? Tangia wahalifu wakaombwa kutoka gerezani ? CCM haya mnayo yafanya mnajitakia shida baadaye .

bado na babu sea watamtafuta wamtoe tu kabla ya ...........
 
Walikiona cha mtema kuni ni police wa magamba si umesoma hapo? Makamishna wameenda kumbembeleza akubali kutoka mahabusu ili Arusha iwe na amani! Mmekubali sasa eh? Lema kishawaambia labda mumtishie kingine sio jela wala kumuua! Kama haogopi kutishiwa kufa unadhani mtamtishia nini zaidi ya hapo? Lema kishapuliza kipenga hakuna kurudi nyuma!

MwaJ!! Mzima weweee!!

Niruhusu niogezee kuwa Watanzania wote!

Hatuna shida nyingine, tunahitaji kuona HESHIMA na Kuheshimiana kama kunakoonyeshwa na MAKAMISHNA kunarejea mtaani ... Kwani Huo sio UTU? Kwani Huo Sio UBINADAMU? Ni Hicho tu!! Watanzania Hatujali ni Chama gani kitachukua fursa ya Kurejesha HESHIMA, UPENDO na MATUMAINI ya Taifa, Hayo maneno Matatu ni Msingi wa Mwenge wakweli wa UHURU Limnara Likubwa Likiwa Limesimama pale ARUSHA. Hivyo basi, UTU kama UPENDO, UTU kama HESHIMA na UTU kama MATUMAINI ... vitaendelea Kuwa ni MSINGI UTAKO SIMAMIWA NA POLISI NA SEREKALI KAMA WALIVYOFANYA MAKAMISHINA pale mjini ARUSHA ... Mbona Historia itakuwa imejirudia? Kivipi?

Arusha itakuwa imekuwa nuru ya matumaini mapya! Itakuwa imeonyesha dhana ya UTU kwa vitendo na makamanda makamishana hao kuingia kwanye historia. Kwani BILA UTU hakuna maisha wala Uhai. Hivyo watakuwa wametafsiri kwa vitendo dhana ya UTU na kuanzisha uwepo wa AZIMIO LA PAMOJA LA UTU WA TAIFA. .. Lazima Taifa likae na kukubaliana kuwepo kwa AZIMIO LA UTU na UBINADAMU wa Taifa, ambalo litakuwa Limeanzia Gerezani KISONGO kati ya makamishana, Mwenyekiti Mbowe, G Lema na wengine wote. Litakuwa Azimio la Utu na ubindamu kushika hatamu katika mji wa Arusha na kuenea kote Tanzania. Kama Ule waraka wa G Lema unavyodai . Kawaraka kadogo lakini kamesheheni Vilivyo.

Lakini leo tunaongelea Kutaka AZIMIO LA UTU Lifanyike au Kuanzia Arusha... yaani AZIMIO LA UTU LA ARUSHA... Liwe AZIMIO lililofikiwa ARUSHA!!(AZIMIO LA ARUSHA) Haaaa ahaaahhh .. Kwani halikuwahi kuwepo? Kwani ile nyumba kando ya Limnara likubwa pale ARUSHA inakumbukumbu Gani? .. Si Ni AZIMIO LA ARUSHA LA MWAKA 1967.

Liilikwenda wapi? Tunauliza Azimio la UTU wa UBINADAMU wa Mtanzania la Mwaka 1967 ..Lilikwendawa WAPI? Majibu mnajua!!

Lilimezwa na AZIMIO la wapinaga UTU la ZANZIBAR ...Wakaja na AZIMIO LA VITU BADALA YA UTU ...Sasa misukumo ya Kijamii (MIZIMU) YA ARUSHA IMEFUFUKA!!! Inadai AZIMIO LA UTU NA UBINADAMU LIREJEE... HAPA INATAKIWA HEKIMA NA BUSARA KUBWA!!

Soma tena Waraka wa G Lema ... Kama una Muda kaulinganishe ... na WARAKA WA AZIMIO LA ARUSHA MWAKA 1967!!!

Nani haoni kuwa Waraka wa G Lema ni MTIZAMO WA SASA WA AZIMIO LILELI LA MWAKA 1967? ...Alafu tuache mambo ya UBISHI usiokuwa na Tija ya KIUTU NA KIBINADAMU!! ... kitu ni kilekile!!! Na mtu ambaye hakuwahi kujua maana ya azimio la arusha asome tu waraka wa G lema kwani ule ndio muhutasari wake!! Ndio maana ya kuwa na Kumbukumbu ya azimio la arusha ile nymba pale Arusha na alama ya Mwenge wa uhuru kila Kona ya Nchi ya Tanzania!! Na sasa serekali iwe tayari kurejesha ..DHANA YA UTU NA UBINADAMU KWENYE NYANJA ZOTE NA FUJO ZITAKOMA!! NAFIKIRI HILI LIMEELEWEKA!!!

KUDHIBITISHA KUWA ... UTU ... Haupitwi na wakati! Na waasisi wa azimio la 1967 ...walitabiri ... NGUVU YA UTU KAMA MSINGI WA USTAWI WA JAMII YA TANZANIA .... Itarejea!! Bora Makamishana HODARI wameliona hilo na SASA WAUNGWE MKONO NA VIONGOZI WA SEREKALI WA NGAZI ZA JUU!!

Wajitokeza HADHARANI ...WAUNGE MKONA KUREJEA KWA AZIMIO LA UTU NA UBINADAMU ...wafuate kale kabarua kadogi ka G Lema (kwani hata zimio la 1967 kalikuwa ka kurasa moja). Hata kama hawataki kumtaja yeye kama Muanzisha Vuguvugu... Kikubwa zaidi wajaribu zaidi kumuelewa na wasimuumize kwa namna yeyote!! Kwani hiyo ndio ishara ya UTU Mpya, Tanzania na Nuru Mpya ya Ubinaadamu!!!
 
MwaJ!! Mzima weweee!!

Niruhusu niogezee kuwa Watanzania wote!

Hatuna shida nyingine, tunahitaji kuona HESHIMA na Kuheshimiana kama kunakoonyeshwa na MAKAMISHNA kunarejea mtaani ... Kwani Huo sio UTU? Kwani Huo Sio UBINADAMU? Ni Hicho tu!! Watanzania Hatujali ni Chama gani kitachukua fursa ya Kurejesha HESHIMA, UPENDO na MATUMAINI ya Taifa, Hayo maneno Matatu ni Msingi wa Mwenge wakweli wa UHURU Limnara Likubwa Likiwa Limesimama pale ARUSHA. Hivyo basi, UTU kama UPENDO, UTU kama HESHIMA na UTU kama MATUMAINI ... vitaendelea Kuwa ni MSINGI UTAKO SIMAMIWA NA POLISI NA SEREKALI KAMA WALIVYOFANYA MAKAMISHINA pale mjini ARUSHA ... Mbona Historia itakuwa imejirudia? Kivipi?

Arusha itakuwa imekuwa nuru ya matumaini mapya! Itakuwa imeonyesha dhana ya UTU kwa vitendo na makamanda makamishana hao kuingia kwanye historia. Kwani BILA UTU hakuna maisha wala Uhai. Hivyo watakuwa wametafsiri kwa vitendo dhana ya UTU na kuanzisha uwepo wa AZIMIO LA PAMOJA LA UTU WA TAIFA. .. Lazima Taifa likae na kukubaliana kuwepo kwa AZIMIO LA UTU na UBINADAMU wa Taifa, ambalo litakuwa Limeanzia Gerezani KISONGO kati ya makamishana, Mwenyekiti Mbowe, G Lema na wengine wote. Litakuwa Azimio la Utu na ubindamu kushika hatamu katika mji wa Arusha na kuenea kote Tanzania. Kama Ule waraka wa G Lema unavyodai . Kawaraka kadogo lakini kamesheheni Vilivyo.

Lakini leo tunaongelea Kutaka AZIMIO LA UTU Lifanyike au Kuanzia Arusha... yaani AZIMIO LA UTU LA ARUSHA... Liwe AZIMIO lililofikiwa ARUSHA!!(AZIMIO LA ARUSHA) Haaaa ahaaahhh .. Kwani halikuwahi kuwepo? Kwani ile nyumba kando ya Limnara likubwa pale ARUSHA inakumbukumbu Gani? .. Si Ni AZIMIO LA ARUSHA LA MWAKA 1967.

Liilikwenda wapi? Tunauliza Azimio la UTU wa UBINADAMU wa Mtanzania la Mwaka 1967 ..Lilikwendawa WAPI? Majibu mnajua!!

Lilimezwa na AZIMIO la wapinaga UTU la ZANZIBAR ...Wakaja na AZIMIO LA VITU BADALA YA UTU ...Sasa misukumo ya Kijamii (MIZIMU) YA ARUSHA IMEFUFUKA!!! Inadai AZIMIO LA UTU NA UBINADAMU LIREJEE... HAPA INATAKIWA HEKIMA NA BUSARA KUBWA!!

Soma tena Waraka wa G Lema ... Kama una Muda kaulinganishe ... na WARAKA WA AZIMIO LA ARUSHA MWAKA 1967!!!

Nani haoni kuwa Waraka wa G Lema ni MTIZAMO WA SASA WA AZIMIO LILELI LA MWAKA 1967? ...Alafu tuache mambo ya UBISHI usiokuwa na Tija ya KIUTU NA KIBINADAMU!! ... kitu ni kilekile!!! Na mtu ambaye hakuwahi kujua maana ya azimio la arusha asome tu waraka wa G lema kwani ule ndio muhutasari wake!! Ndio maana ya kuwa na Kumbukumbu ya azimio la arusha ile nymba pale Arusha na alama ya Mwenge wa uhuru kila Kona ya Nchi ya Tanzania!! Na sasa serekali iwe tayari kurejesha ..DHANA YA UTU NA UBINADAMU KWENYE NYANJA ZOTE NA FUJO ZITAKOMA!! NAFIKIRI HILI LIMEELEWEKA!!!

KUDHIBITISHA KUWA ... UTU ... Haupitwi na wakati! Na waasisi wa azimio la 1967 ...walitabiri ... NGUVU YA UTU KAMA MSINGI WA USTAWI WA JAMII YA TANZANIA .... Itarejea!! Bora Makamishana HODARI wameliona hilo na SASA WAUNGWE MKONO NA VIONGOZI WA SEREKALI WA NGAZI ZA JUU!!

Wajitokeza HADHARANI ...WAUNGE MKONA KUREJEA KWA AZIMIO LA UTU NA UBINADAMU ...wafuate kale kabarua kadogi ka G Lema (kwani hata zimio la 1967 kalikuwa ka kurasa moja). Hata kama hawataki kumtaja yeye kama Muanzisha Vuguvugu... Kikubwa zaidi wajaribu zaidi kumuelewa na wasimuumize kwa namna yeyote!! Kwani hiyo ndio ishara ya UTU Mpya, Tanzania na Nuru Mpya ya Ubinaadamu!!!

JA asante sana kwa kuongezea na kutufungua macho kuhusu waraka wa G Lema na ule wa Azimio la Arusha.
 
[B said:
AZIMIO LA UTU na UBINADAMU wa Taifa[/B],

Wajitokeza HADHARANI ...WAUNGE MKONA KUREJEA KWA AZIMIO LA UTU NA UBINADAMU ...wafuate kale kabarua kadogi ka G Lema (kwani hata zimio la 1967 kalikuwa ka kurasa moja). Hata kama hawataki kumtaja yeye kama Muanzisha Vuguvugu... Kikubwa zaidi wajaribu zaidi kumuelewa na wasimuumize kwa namna yeyote!! Kwani hiyo ndio ishara ya UTU Mpya, Tanzania na Nuru Mpya ya Ubinaadamu!!!
Kweli tujitokeze kwa kutembea kwa miguu toka MUSOMA mpaka MWANZA kuunga mkono azimio hili
 
Kweli tujitokeze kwa kutembea kwa miguu toka MUSOMA mpaka MWANZA kuunga mkono azimio hili

IM317;

Azimio la Utu na Ubinadamu ... Ni Dhana na kanuni ya Mwanadamu Mstaarabu na mwenye kiu ya kweli ya Kutawala Mazingira yake na kumfanya kuwa tofauti na viumbe wengine wote ambao wanaotawaliwa na mazingara yao. Kutawala mazingira kunakupa uwezo wa kutawala Afya ya jamii, kuushinda umasikini, kutwala elimu, usalama, mahusiano na kwa ufipi kutwala mazingira kunakupa maisha Bora ya vitu na utu.

Nguzo kubwa ya kuwezesha hapo ni kukubaliana na kutekeleza misingi muhimu ya Utu na ubinadamu kuingia na kuatawala mtaani!

Kuunga mkono ..si jambo la kujadili! Ni lazima! Unapinga UTU NA UBINADAMU ... Ili kupta jaiii ya Kinyama ? na .... Wala ... Hivi Kinyume cha UTU ni Unyama? Sio kweli ...Kuupinga asili Yetu ni Kosa!! Kwani wanyama walifanya kosa kufikia kufikia Unyama wao ? jibu ni kuwa hawakufanya kosa lolote! Hivyo basi, unyama kwa kwa wanyama ni kitu sahihi na kitakatifu ...Mwanadamu kufanya kosa la kuukana uasili wa utu wake na kuufikia unyama ambao ni kitu sahihi inakuwa sio sawa na hawezi kupewa sifa ya kuitwa unyama ambacho ni kitu sahihi kwa wanyama wasiokuwa na makosa juu ya uasili wao!!

Ukweli ni kuwa kinyume cha Utu Ni Ushetani! Kwa hiyo anayepinga Utu hana hata sifa ya kuitwa ....Mnyama... kwani hiyo bado ni sifa ...jina lake kamili ni S''''ni. Kwa hiyo kuunga mkono UTU na Ubinanamu kama msingi sahihi wa kuongoza Jamii ya Kitanzani si jambo la Kujadili ni lazima.

Mwaka 1967 ...watu walitembea ..kama ulivyosema.

Mwaka 2011 ... watu wanaweza kuandamana na kutembea kuunga mkono?... NDIO!! .... lakini zaidi ya HAPO ... watu wanaweza KUTEMBELEA ...Mtandao kama hii na kuonyesha kuunga mikono AZIMIO hilo. Kwani Mwaka 1967 hatukuwa na wwww.com nk!!
 
Nafikiria mbali sana.Niliowaona wamezuiwa kwenda kumwona Mh.Godbless Lema,walikuwa wengi mno.Mawazo yangu yanakwenda mbali zaidi,hivi siku hiyo ya kesi itakuwaje?Japokuwa jana kulikuwa na tetesi kwamba katoka lupango,sitaki kuziamini kwan sijamwona kwa macho yangu.Hivi polisi hawajapata taarifa za kiintelijensia,pengine kutakuwepo na vurugu?Na pale bungeni kutakuwa na taswira gani labda pale atakapotaka kuelezea yaliyojiri gerezani?Naomba kuwasilisha.

Hapo kwenye red - Mkuu, kweli wewe unaona mbali. Sipati picha hasa pale magamba watakapoanza kuomba mwongozo wa Spika. Hapa Kariakoo itakuwa cha mtoto.
 
mwita25 we mwehu!alikuwa wapi wakati zitto analazwa muhimbili!!au unadakia mada tu juujuu!!!!!!!
 
Humjui Lema msamiati wa kujidhalilisha kwake haupo kama sivyo saa hizi angekuwa anatanua uraiani na VX lake hakuna anayemzuia hata leo akiamua kutoka anatoka, upo?

yeye si ndiyo mahakam kwamba akiamua kutoka anatoka? Kwanin hakuamua kutokwenda gerezan.
 
Mambo yanayoendelea gerezani ni aibu kuelezea ukitoka nje. Sidhani kama atakuwa tayari kuyaeleza hata kwa mke wake achilia mbali ndani ya bunge.

Ha ha haaaaaa, mambo ya David Cameroun hayo , ndio hivyo tena ameisha ingizwa kwenye namba !
 
Upuuzi mtupu.

CDM mnavuruga maisha na shughuli za kiuchumi za Wana-Arusha. Vurugu zenu na maandamano ya kijinga havina tija kwetu.

Tumetambua tulifanya kosa kubwa kuwapa dhamana ya kutuongoza. Hatutarudia kosa 2015.

Hivi na wewe unakaa Arusha?!, Na bado mbona mambo ndio yanaanza, wewe unazungumzia utulivu wenu upi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom