Ni vigumu sana kuacha asili nilidhani umebadilika kumbe ukivua gamba iko siku itarudia ukomavu ule ule.
Huyo hana tofauti na kina dada poa wa sinza,asipopewa posho havui ch**i na anaanza kuponda,akipewa tu hata kuivua anaona inamchelewesha anaichana,hivyo basi usimshangae.
humjui lema msamiati wa kujidhalilisha kwake haupo kama sivyo saa hizi angekuwa anatanua uraiani na vx lake hakuna anayemzuia hata leo akiamua kutoka anatoka, upo?
Yalishawahi kukupata nini, pole sana, una mtoto gani.Mambo yanayoendelea gerezani ni aibu kuelezea ukitoka nje. Sidhani kama atakuwa tayari kuyaeleza hata kwa mke wake achilia mbali ndani ya bunge.
Aliacha kumtembelea Zitto akiwa Muhimbili anaona ni bora kumtembelea Lema akiwa gerezani?
Chadema wanajitahidi kwa kazi nzuri lakini tatizo lao hawajapata kiongozi ambaye ni 'unifying figure'. Wanaicheka CCM kwa mgawanyiko lakini na wao wenyewe ndiyo kitu kinachowanyemelea kwa sasa na wasishangae wakasambaratika hata kabla ya CCM. Kitendo cha Mbowe kutomtembelea Zitto akiwa hospitali eti tu kwakuwa alishindana naye kwenye kiti cha uenyekiti hakijengi bali kinabomoa.
Point.
nazani badozitto karudi?
zimeingi toka wapi?Tayari saa hizi nimeona zile Fuso za chadema zimeshaingia asubuhi hii tayari kwa mkutano wa kesho kumlaki Lema na kuongea na wananchi.