Lema ni kiongozi shujaa mwenye ujasiri wa ukombozi wa mtanzania,tunamsubiri kesho kwa hamu,CCM inaangamiza maisha ya watu kila siku dola ipo juu,vyakula vimepanda,ajira hakuna now days na kama ikitokea wanapeana wao na watoto wao licha ya kuwa vilaza this is not fair at all,if this is not my I country could leave,but I have to fight till the end,and the freedom is coming.