technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Wanachama wengi wa chadema wanamwangalia mbowe kwenye mazuri aliyofanya tu bila kuangalia sehemu alikoshindwa kama
1: Kushindwa kuchukua hatua kali za kichama kupinga kuzuiwa kwa mikutano na mahandamano ya vyama vya siasa.
2: Kutokuwa na ofisi za kujenga majengo mengi wanapanga nilitegemea wawe na makao makuu dodoma.
3: Kuwa na active member wa kudumu kila kijiji wanaochangia chama.
4: Mbowe aeleze kwa nini chadema uwa kinapa hati chafu/mashaka kila mwaka?
5: Kwanini mtu akimkosoa mwenyekiti ni kosa ndani ya chadema?
6: Kwanini wabunge uwa wanachangishwa laki 5 kila mwezi kwa lazima ndandi ya chadema?
Kiufupi mbowe anatakiwa kujibu mambo mengi sana kabla ajaeleza kwanini anautaka tena uwenyekiti taifa.
1: Kushindwa kuchukua hatua kali za kichama kupinga kuzuiwa kwa mikutano na mahandamano ya vyama vya siasa.
2: Kutokuwa na ofisi za kujenga majengo mengi wanapanga nilitegemea wawe na makao makuu dodoma.
3: Kuwa na active member wa kudumu kila kijiji wanaochangia chama.
4: Mbowe aeleze kwa nini chadema uwa kinapa hati chafu/mashaka kila mwaka?
5: Kwanini mtu akimkosoa mwenyekiti ni kosa ndani ya chadema?
6: Kwanini wabunge uwa wanachangishwa laki 5 kila mwezi kwa lazima ndandi ya chadema?
Kiufupi mbowe anatakiwa kujibu mambo mengi sana kabla ajaeleza kwanini anautaka tena uwenyekiti taifa.