Mbowe angekubalj ukosoaji wa Dr Slaa dhidi ya Lowassa 2015 Chadema ingeimarika na Leo isingekuwa na mbunge mmoja wa kikeni tu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,976
Katibu mkuu wa Chadema by then Dr Slaa kwa nia njema akamuuliza Mwenyekiti Mbowe swali Moja tu " Lowassa ni asset au liability?"

Swali hili lilikosa majibu Dr Slaa akashambuliwa kweli kweli na Bavicha lakini Bawacha walikaa kimya kwa sababu zama hizi Wanawake ni werevu na wanaume ndio Wambeya Waimba taarabu. Hata kwenye issue ya Bashiru wa CCM akina UWT wako kimya Wanaume ndio wanaimba taarabu

Dr Slaa Baada ya kuelemewa na mashambulizi ya Bavicha na Bazecha akaamua kurejea CCM

Lowassa akaingia na Kikosi Kazi chake akina Dr Mollel huku akielewa wazi hata akipata kura nyingi hawezi kuwa Rais kwa sababu CCM ni Chama Dola

Mwisho wa Siku gia ya angani ikageuka kuwa shubiri wamemkosa Dr Slaa na mzee Lowassa akaondoka na wabunge wake wote

J4 Ubarikiwe Sana!
 
Katibu mkuu wa Chadema by then Dr Slaa kwa nia njema akamuuliza Mwenyekiti Mbowe swali Moja tu " Lowassa ni asset au liability?"

Swali hili lilikosa majibu Dr Slaa akashambuliwa kweli kweli na Bavicha lakini Bawacha walikaa kimya kwa sababu zama hizi Wanawake ni werevu na wanaume ndio Wambeya Waimba taarabu. Hata kwenye issue ya Bashiru wa CCM akina UWT wako kimya Wanaume ndio wanaimba taarabu

Dr Slaa Baada ya kuelemewa na mashambulizi ya Bavicha na Bazecha akaamua kurejea CCM

Lowassa akaingia na Kikosi Kazi chake akina Dr Mollel huku akielewa wazi hata akipata kura nyingi hawezi kuwa Rais kwa sababu CCM ni Chama Dola

Mwisho wa Siku gia ya angani ikageuka kuwa shubiri wamemkosa Dr Slaa na mzee Lowassa akaondoka na wabunge wake wote

J4 Ubarikiwe Sana!
SOMETIMES AKILI HUWA INAKUTOKA AU NI MATANI MENGI. KWANI 2020 KULIKUWA NA UCHAGUZI? You are losing your credibility on Jf if you continue posting nonsense!
 
Katibu mkuu wa Chadema by then Dr Slaa kwa nia njema akamuuliza Mwenyekiti Mbowe swali Moja tu " Lowassa ni asset au liability?"

Swali hili lilikosa majibu Dr Slaa akashambuliwa kweli kweli na Bavicha lakini Bawacha walikaa kimya kwa sababu zama hizi Wanawake ni werevu na wanaume ndio Wambeya Waimba taarabu. Hata kwenye issue ya Bashiru wa CCM akina UWT wako kimya Wanaume ndio wanaimba taarabu

Dr Slaa Baada ya kuelemewa na mashambulizi ya Bavicha na Bazecha akaamua kurejea CCM

Lowassa akaingia na Kikosi Kazi chake akina Dr Mollel huku akielewa wazi hata akipata kura nyingi hawezi kuwa Rais kwa sababu CCM ni Chama Dola

Mwisho wa Siku gia ya angani ikageuka kuwa shubiri wamemkosa Dr Slaa na mzee Lowassa akaondoka na wabunge wake wote

J4 Ubarikiwe Sana!
Huna akili. Chadema ilishinda viti zaidi ya 50 na wewe mwenyewe walikwambia kuingia barabarani kudai viti hivyo baada ya kupotea kwa nguvu. Mfano chadema ilishinda ubungo, kawe, hai, Arusha , mbeya mjini na kwingineko kingi lakini waliporwa ushindi Sana achana na wale waliotekwa na polisi wakiwa wanarudisha forma. Hata jpm hakushinda ila jeshi liliamriwa liwe ready Kama lowasa angetangazwa. Uchaguzi bongo ni zaidi ya Vita
 
Back
Top Bottom