johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,543
- 141,353
Nawasalimu kwa jina la JMT
Swali langu ni hili:
Kama Chadema ni waumini wa kweli wa Katiba ya Wananchi (Rasimu ya Warioba) kwanini waliizika UKAWA kwa kumfurusha muasisi wake Prof Lipumba na msaidizi wake Dr Slaa kisha wakamkaribisha Mzee Lowassa wa CCM ambaye kimsingi alikuwa ni muumini wa Katiba Pendekezwa (Katiba ya Chenge)?
Mungu ni mwema wakati wote!
Swali langu ni hili:
Kama Chadema ni waumini wa kweli wa Katiba ya Wananchi (Rasimu ya Warioba) kwanini waliizika UKAWA kwa kumfurusha muasisi wake Prof Lipumba na msaidizi wake Dr Slaa kisha wakamkaribisha Mzee Lowassa wa CCM ambaye kimsingi alikuwa ni muumini wa Katiba Pendekezwa (Katiba ya Chenge)?
Mungu ni mwema wakati wote!