Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,470
- 722
Kuwaambia chadema waache udini ni sawa na kumwambia nguruwe asifukue mihogo.
Jiulize, kwanini wanasumbuliwa na sheikh Yahaya kuwashauri CCM? (if indeed that is true)
When we all know that sheikh Yahaya has always been a very succesful and high profile businessman with a proven track record of entrepreneurial skills. So what disqualifies him from advising government officials? Simpo, he is not a doctor of theology (ukiristo); neither is he a brainwashed, suit wearing twat who confuses westernisation with civilisation.
Wabunge watano wakongwe ARFI, KABWE, MDEE, NDESAMBURO, OWENYA wooote hawakubaliana na idea ya kugomea speech ya JK, mbowe bado aliendelea na msimamo wake na sasa anakula matapishi na anapingana na SLAA na ZITTO, hivi kinanani wanamshauri?
Wabunge watano wakongwe ARFI, KABWE, MDEE, NDESAMBURO, OWENYA wooote hawakubaliana na idea ya kugomea speech ya JK, mbowe bado aliendelea na msimamo wake na sasa anakula matapishi na anapingana na SLAA na ZITTO, hivi kinanani wanamshauri?
Wabunge watano wakongwe ARFI, KABWE, MDEE, NDESAMBURO, OWENYA wooote hawakubaliana na idea ya kugomea speech ya JK, mbowe bado aliendelea na msimamo wake na sasa anakula matapishi na anapingana na SLAA na ZITTO, hivi kinanani wanamshauri?
huo ni uzushi.tupe source .halafu hapa jf kila mtu anachofikiria anakileta hapa.jf sio jalala au shimo la taka.ukitoa kitu njoo na evidence
Kwanza tuambie katika suala la wabunge wa Chadema kugomea speech ya JK wewe upo upande gani? Unapotaka kujua Mbowe anasshauriwa na nani ni ili iweje?
Ambaye alikuwa Gavana wa kwanza wa Tanzania.Anashauriwa na Mzee Wake MTEIIIIII
kwenye bold, huyu alikuwepo. kwa hiyo wewe ni mzushi.Wabunge watano wakongwe ARFI, KABWE, MDEE, NDESAMBURO, OWENYA wooote hawakubaliana na idea ya kugomea speech ya JK, mbowe bado aliendelea na msimamo wake na sasa anakula matapishi na anapingana na SLAA na ZITTO, hivi kinanani wanamshauri?
Makamba nani anamshauri?
Na CCM kuacha udini na ukabila ni sawa na nini? Peleka pumba zako kwa mamako nyaambaf!!!
sana saaana utaishia kutusiwa!:teeth: Sidhani kama Mh. Mbowe huwa anahitaji kushauriwa kwenye maamuzi yake, sidhani hata kidogo je wataka kumshauri akulime ngwala? yy ni mwenyekiti asietaka kupingwa. nina mashaka nae sana. Na huenda ndiye atakayesababisha ufa mkubwa kabisa chamani ama kikiuwa kabisa... Ila tusubiri ukweli utajulikana :embarrassed:Hakuna anaejibu, jazba hazitojenga chama chetu, guys just come with ideas achana na ushabiki....
Makamba anashauriwa na Prof Maji Marefu akisaidiwa na Shekh Yahaya kama unavyomuona kwenye mapozi
![]()