huyo ni moja ya vibaraka wa sisiem mjmba acsumbue wana jf.Hebu tupe maelezo ya kina kwamba wametofautiana juu ya nini haswa! Kipi chanzo cha hii habari ndg, au umebuni.
Mkuu wangu tafadhali acha Udini wako....Wee unajua hapa wanafanya nini? au maadam unapomwona Sheikh Yahya basi ndio unaona raha kuendeleza ujinga wako. Mbona ya huyo Mama Rwakatare na chaguo la Mungu hatusemi ndio UCCM..
Makamba anashauriwa na Prof Maji Marefu akisaidiwa na Shekh Yahaya kama unavyomuona kwenye mapozi
Ndugu Rufiji,'Mkandara,
Kusema ukweli suala la udini linazidi kushamiri Tanzania, na mbaya zaidi watu wanaona ni jambo la kuchezea. Kama hali aitabadilika basi taifa letu litakuwa katima matatizo makubwa siku za usoni. Ni lazima hizi mbegu za chuki za udini zikemewe kwa nguvu zote.
Mkandara,
Kusema ukweli suala la udini linazidi kushamiri Tanzania, na mbaya zaidi watu wanaona ni jambo la kuchezea. Kama hali aitabadilika basi taifa letu litakuwa katima matatizo makubwa siku za usoni. Ni lazima hizi mbegu za chuki za udini zikemewe kwa nguvu zote.
Wabunge watano wakongwe ARFI, KABWE, MDEE, NDESAMBURO, OWENYA wooote hawakubaliana na idea ya kugomea speech ya JK, mbowe bado aliendelea na msimamo wake na sasa anakula matapishi na anapingana na SLAA na ZITTO, hivi kinanani wanamshauri?
Mkuu wangu tafadhali acha Udini wako....Wee unajua hapa wanafanya nini? au maadam unapomwona Sheikh Yahya basi ndio unaona raha kuendeleza ujinga wako. Mbona ya huyo Mama Rwakatare na chaguo la Mungu hatusemi ndio UCCM..
Kuwaambia chadema waache udini ni sawa na kumwambia nguruwe asifukue mihogo.
Jiulize, kwanini wanasumbuliwa na sheikh Yahaya kuwashauri CCM? (if indeed that is true)
When we all know that sheikh Yahaya has always been a very succesful and high profile businessman with a proven track record of entrepreneurial skills. So what disqualifies him from advising government officials? Simpo, he is not a doctor of theology (ukiristo); neither is he a brainwashed, suit wearing twat who confuses westernisation with civilisation.
Kuwaambia chadema waache udini ni sawa na kumwambia nguruwe asifukue mihogo.
Jiulize, kwanini wanasumbuliwa na sheikh Yahaya kuwashauri CCM? (if indeed that is true)
When we all know that sheikh Yahaya has always been a very succesful and high profile businessman with a proven track record of entrepreneurial skills. So what disqualifies him from advising government officials? Simpo, he is not a doctor of theology (ukiristo); neither is he a brainwashed, suit wearing twat who confuses westernisation with civilisation.
Sidhani kama uko sahihi, this is very low statement from you to generalize kusema CHADEMA ulichokiandika. Sidhani hata kama unajua maana ya udini.
Wabunge watano wakongwe ARFI, KABWE, MDEE, NDESAMBURO, OWENYA wooote hawakubaliana na idea ya kugomea speech ya JK, mbowe bado aliendelea na msimamo wake na sasa anakula matapishi na anapingana na SLAA na ZITTO, hivi kinanani wanamshauri?
Maadam hakuna Source hapo juu, labda nimulekeze tu Ndg TECHNOLOGY kwamba badala ya kupoteza muda kutaka kuwaletea Nyufa CHADEMA (Jambo ambalo halitowezekana) labda atusaidie tu kufikisha mapendekezo yetu huko ili huyu mtaala mwenzake kwenye picha apewe Uwaziri wa SAYANSI NA TEKNOLOGIA ili mambo yawe murua zaidi.
Wabunge watano wakongwe ARFI, KABWE, MDEE, NDESAMBURO, OWENYA wooote hawakubaliana na idea ya kugomea speech ya JK, mbowe bado aliendelea na msimamo wake na sasa anakula matapishi na anapingana na SLAA na ZITTO, hivi kinanani wanamshauri?
Kuwaambia chadema waache udini ni sawa na kumwambia nguruwe asifukue mihogo.
Jiulize, kwanini wanasumbuliwa na sheikh Yahaya kuwashauri CCM? (if indeed that is true)
When we all know that sheikh Yahaya has always been a very succesful and high profile businessman with a proven track record of entrepreneurial skills. So what disqualifies him from advising government officials? Simpo, he is not a doctor of theology (ukiristo); neither is he a brainwashed, suit wearing twat who confuses westernisation with civilisation.