Mbowe anakuwa Sub ya Askofu Gwajima CCM

Mbowe anakuwa Sub ya Askofu Gwajima CCM

Benson Mramba

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2013
Posts
766
Reaction score
1,884
Wakati fulani nyuma niliandika humu kuwa siasa za mwaka huu zitakuwa kama za Kenya ambapo Rais ataungana na kiongozi mkuu wa upinzani kwenye jukwaa moja kama Uhuru na Odinga walivyoungana.

Nilisema Mbowe ataungana na Mama Samia na kuunda timu moja ya Kampeni wakati Lissu ataungana na Sukuma Gang.

Wakati naona kama ndio umefika huu
 
Wakati fulani nyuma niliandika humu kuwa siasa za mwaka huu zitakuwa kama za Kenya ambapo Rais ataungana na kiongozi mkuu wa upinzani kwenye jukwaa moja kama Uhuru na Odinga walivyoungana.

Nilisema Mbowe ataungana na Mama Samia na kuunda timu moja ya Kampeni wakati Lissu ataungana na Sukuma Gang.

Wakati naona kama ndio umefika huu
TUtapata wapi hilo andikompia na wewe ulikuwa chadema wakati wa Mbowe ukakimbia ebu tupe uzoefu wako nini kilikupata.
 
Wakati fulani nyuma niliandika humu kuwa siasa za mwaka huu zitakuwa kama za Kenya ambapo Rais ataungana na kiongozi mkuu wa upinzani kwenye jukwaa moja kama Uhuru na Odinga walivyoungana.

Nilisema Mbowe ataungana na Mama Samia na kuunda timu moja ya Kampeni wakati Lissu ataungana na Sukuma Gang.

Wakati naona kama ndio umefika huu
Hehehe....ngoja tuone.
 
Back
Top Bottom