Mbowe anafunika hapa Gairo muda huu

Mbowe anafunika hapa Gairo muda huu

Gairo mjini ni ngome ya CHADEMA hata diwani wa hapo ni CHAD.EMA
Ni kweli diwani wa hapo Gairo ni wa Chadema, lakini cha ajabu aliwekwa kwa nguvu ya pesa na mbunge Shabiby, baada ya chaguo la mgombea wa CCM wa udiwani, kuwa siyo mtu 'wake' Shabiby.

Huyo mwarabu/mkaguru Shabiby ameigeuza Gairo kama himaya yake ya kisultani, kila analolitaka kwa wanaccm wenzake ni lazima liwe, wakimgomea tu, basi anajigeuza 'ukawa' ili kuwakomoa wanaccm wenziwe!

Suala hilo liko wazi kabisa, hata viongozi wa juu kabisa wa CCM, JK na Kinana, wanalijua vizuri sana hilo jambo, lakini kwa kuwa nao wanamgwaya sana huyo mwarabu, wamebaki kumkodolea macho tu, bila kumchukulia hatua zozote za kichama!
 
Ni kweli diwani wa hapo Gairo ni wa Chadema, lakini cha ajabu aliwekwa kwa nguvu ya pesa na mbunge Shabiby, baada ya chaguo la mgombea wa CCM wa udiwani, kuwa siyo mtu 'wake' Shabiby.

Huyo mwarabu/mkaguru Shabiby ameigeuza Gairo kama himaya yake ya kisultani, kila analolitaka kwa wanaccm wenzake ni lazima liwe, wakimgomea tu, basi anajigeuza 'ukawa' ili kuwakomoa wanaccm wenziwe!

Suala hilo liko wazi kabisa, hata viongozi wa juu kabisa wa CCM, JK na Kinana, wanalijua vizuri sana hilo jambo, lakini kwa kuwa nao wanamgwaya sana huyo mwarabu, wamebaki kumkodolea macho tu, bila kumchukulia hatua zozote za kichama!

WanaCCM ndivyo walivyo na wanakulana wao kwa wao, mwaka 2015 ndo kitakuwa kivumbi , kwani makundi ndani yao yamejiimarisha na kudhamilia hasa. Hakuna atakaekubali kushindwa bila kulipiza kisasi kwani kila mtu atakuwa ameshatumia mabilion kadhaa kwenye kura ya maoni.
 
Back
Top Bottom