Mbowe anafunika hapa Gairo muda huu

Mbowe anafunika hapa Gairo muda huu

MPANDA Jr

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2011
Posts
1,295
Reaction score
159
Mhe. Freeman Mbowe anametua hapa Gairo muda huu na kupokelewa kishujaa na viongozi mbalimbali wa chama, kidini na kimila.

Kama ilivyokawaida yake alipokea kero zilizoelezwa na wananchi wenyewe, ndipo wananchi wakafunguka na kueleza kero lukuki.

Wananchi hao wameenda mbali kwa kumuomba Mge. Mbowe awaondolee mbunge wao wa sasa Mhe. Shabiby... Mmoja wa wananchi hao alieleza kwamba mbunge wao aliwafanyia udalali kwa kuwalangua mahindi na kununua kwao kwa bei rahisi ya Tsh. 27000 na kuyauza kwa bei ya Tsh. 60,000/=.

Picha
 
Jitahidi upate walau hata kapicha kamoja maana hawa vichwa ngumu hiyo kavu itakuwa ngumu kumeza japo hawaubadilishi ukweli..
 
Gairo mjini ni ngome ya CHADEMA hata diwani wa hapo ni CHAD.EMA
 
Mhe. Freeman Mbowe anametua hapa Gairo muda huu na kupokelewa kishujaa na viongozi mbalimbali wa chama, kidini na kimila. Kama ilivyokawaida yake alipokea kero zilizoelezwa na wananchi wenyewe, ndipo wananchi wakafunguka na kueleza kero lukuki. Wananchi hao wameenda mbali kwa kumuomba Mge. Mbowe awaondolee mbunge wao wa sasa Mhe. Shabiby... Mmoja wa wananchi hao alieleza kwamba mbunge wao aliwafanyia udalali kwa kuwalangua mahindi na kununua kwao kwa bei rahisi ya Tsh. 27000 na kuyauza kwa bei ya Tsh. 60,000/=. Picha
Peoples!
 
Gairo mjini ni ngome ya CHADEMA hata diwani wa hapo ni CHAD.EMA

aaaaah niambie bwana !!!. kumbe mbowe leo yupo nyumbani bwana. hongera wananchi wa gairo kwa kujitambua na kuamu kuwa na diwani wa chadema hapo gairo. big up sana wana gairo mwakani tupeni jimbo la gairo huyo mbunge --------- hahitajiki tena
 
naona kiongozi mkuu wa upinzani akiendelea na ndoto yake ya kuwa rais, tuendelee hivyo hivyo mpaka 2070 bado akizunguka tu na urais asipate milele
 
Safi sana , CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE , CC - MSALANI .
 
anafunika au ndio watu mameudhiria kuangalia chopa kama ilivyokua kigoma????
Embu cheki hapa ilivyokua kogoma watu wamezunguka chopa badala ya kumsikiza kamanda mboye
 
anafunika au ndio watu mameudhiria kuangalia chopa kama ilivyokua kigoma????
Embu cheki hapa ilivyokua kogoma watu wamezunguka chopa badala ya kumsikiza kamanda mboye

salimu mwalimu amekua chopa sikuizu?
 
Hapa ukiangalia vizuri waliozunguka chopa ni watoto ila watu wazima wanasikiliza nondo za makamanda
anafunika au ndio watu mameudhiria kuangalia chopa kama ilivyokua kigoma????
Embu cheki hapa ilivyokua kogoma watu wamezunguka chopa badala ya kumsikiza kamanda mboye
 
bykababu;
anafunika au ndio watu mameudhiria kuangalia chopa kama ilivyokua kigoma????
Embu cheki hapa ilivyokua kogoma watu wamezunguka chopa badala ya kumsikiza kamanda mboye




wewe kababu hiyo kogoma ndo wap huko?

wahed mbulula mkubwa wee!
 
Last edited by a moderator:
Wanainchi wa gairo walienda mbali zaidi kuhusu mbunge wa GAIRO Mh, Ahmed Shabib walisema

1. Tangu mkewe afariki na ugonjwa wa kisasa mwaka 1996, mbunge huyio hajaowa ila anawapanga tu wanawakwe kwenye guest kuna siku wanawake wake wamekutana katika guest moja hapo Gairo wako 6., kwa hiyi anasambaza tu ukimwi
2. Aliwaki kuajiri mwanamke dereva katika mabasi yake ya Shabib akawa hawara yake dereva huyo alikufa na mpenzi wake wa moyoni Elisha naye alisha kufa
3.Hana adabu, anadharau aliwahi kuwaambia wateja wa basi lake la Shabib wa MPWAPWA Kwamba eti hata akiwapelekea trecta watapanda
4. Aliwahi kualikwa kuchangia harambee ya ujenzi wa kanisa la St Poul Mpwapwa alichanga shs MILLION 3 pembeni akasema niwewachangia makafiri shsh MILLION 3
5.Huwatishia matrafiki wanaosimamisha mabasi yake kwa makosa mbali mbali, akiwaambia wasifanye hivyom kwani yeye ndiyo hutunga sheria
6,.Pamaja na kuwapa mimba wasichana mbalimbali wanaomtaka kutokana na shida zao bado hizo mimba huwa anazikataa baadhi yao ni mimba ya Hawa Kiemi,
 
huyo jamaa (AHMED SHABIBY) ni katili sana nimewah kuwa conductor ktk mabasi yake ya SHABIBY alinitimua kisa kudai chang
 
huyo jamaa (AHMED MOHAMED SHABIBY) ni katili sana nimewah kuwa conductor ktk mabasi yake ya SHABIBY alitimua kisa mshahr
 
huyo jamaa (AHMED MOHAMED SHABIBY) ni katili sana nimewah kuwa conductor ktk mabasi yake ya SHABIBY alitimua kisa mshahr

Nyie ndo mnamlea,uliza wakurya wanaofanya biashara ya nguo pale gairo,wanaoishi kwenye guest bovu la CBS,siku moja tulimchapa mboko za hatari huyu m.b..wa, alituita walevi, acha tumchape mboko ilikuwa sokoni ungu road. Alikimbia huyo. Alisaidiwa na polisi mmoja mmasai kituo cha gairo. Mchapeni na nyie sio kulalamika tu hapa.
 
Go Go Go Chadema. Viva Ukawa.


back Tanganyika!
 
Back
Top Bottom