Mbowe amkaribisha Kimaro CHADEMA

Tarariraaaaaa! Haya walokuwa wakinibishia wako wapi?... UKAWA chanu....maskini Mbowe anatapatapa kama nahodha wa Tatinic kujiokoa hawezi bora afe na chama..

Wanaojiunga na Chadema toka CCM ni kundi la Lowassa ambao wameshajua hawatapata ridhaa ya CCM kugombea hata Udiwani. Lowassa na kundi lake lote limetemwa CCM hivyo msishangae kuona kundi la Nyumbu wakivuta mto Mara, marisho kule ng'ambo yamekwisha!

Naona umeibua uzi wa 2009 ili uimbe taarab ya TOT.

Hongera, una sauti tamu kama ya Khadija Kopa. Mtauza sana albam yenu mpya bila Kepten Komba.
 
Naona umeibua uzi wa 2009 ili uimbe taarab ya TOT.

Hongera, una sauti tamu kama ya Khadija Kopa. Mtauza sana albam yenu mpya bila Kepten Komba.
Maadam wewe mpenzi wa Taarab wala usitie shaka album inapatikana Ufipa au Fika club Billicanas Jumamosi hii tutakuwa live na Khadija Kopa!
 
Maadam wewe mpenzi wa Taarab wala usitie shaka album inapatikana Ufipa au Fika club Billicanas Jumamosi hii tutakuwa live na Khadija Kopa!
Hewala.... nasubiria kuisikia sauti yako nyororo....

Mashallah!!!
 
Tarariraaaaaa! Haya walokuwa wakinibishia wako wapi?... UKAWA chanu....maskini Mbowe anatapatapa kama nahodha wa Tatinic kujiokoa hawezi bora afe na chama..

Wanaojiunga na Chadema toka CCM ni kundi la Lowassa ambao wameshajua hawatapata ridhaa ya CCM kugombea hata Udiwani. Lowassa na kundi lake lote limetemwa CCM hivyo msishangae kuona kundi la Nyumbu wakivuta mto Mara, marisho kule ng'ambo yamekwisha!
Mkuu post ya mwaka 2009 unaichangia kama vile hayo maneno Mbowe kayasema leo!Acha Kukuripuka mkuu.
 
Chadema si chama kikuu cha upinzani wala haitakuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania hata siku moja.Viongozi wa Chadema wako tayari kusema uongo ili kutimiza malengo yao ya kifisadi.Ki msingi CCM ya kwanza na TLP ilikuwa ya pili kwa tofauti ya kura zisizozidi mia Chadema ya tatu.Ni kwanini Mbowe na Ndesamburo hawataki kuelewa TLP inakubalika zaidi Vunjo kuliko Chadema !.Badala ya kuiunga mkono TLP wanaanza kuwachanganya wananchi kwa maneno ya uongo na upuuzi.Mrema atachukua kiti cha ubunge Vunjo Chadema watake wasitake.

Mbatia akiwa wapi?
 
Naona aibu mtu nayemwamini kama Mkandala kuingia chaka.

Mkandala ameonyesha jinsi alivyo mnazi linapokuja suala la Chadema ingawa kabla Zitto hajaondoka, Mkandala alikuwa mshabiki wa Chadema.

Vv
Angalia hiyo Post ni ya mwaka gani

Wewe kweli taahira, angalia pumba ulizoandika hapa. Usirukie maneno ya vijiweni kwamba CHADEMA imeshindwa kuviunganisha vyama vya upinzani bila ya kuwa na ushahidi wowote ule bali uzushi tu. Ndiyo matatizo ya kuwa na elimu mulugo. Sasa kama wanaojiunga na chadema ni kundi lowassa iweje tena muanze kutumia vitisho dhidi yao kwamba watashughulikiwa kwa kutaka kukigawa chama, waachwe tu waongee chochote watakachopenda kuongea kuhusu uozo wa chama cha wahuni.
 
Mkandara Umejivua nguo Umebaki na boxer!

Uzi wa 2009 unaushadadia kama vile ni wa leo??

Nimekupuuza rasmi! punguan wahed!
 
Last edited by a moderator:
Chadema inaanza kupoteza mwelekeo taratibu na hii operasheni sangara imekuwa sehemu ya propaganda zaidi badala ya kuwaambia watanzania watawafanyia nini.Maudhui ya karibu mikutano yote yanafanana kiasi kwamba mikutano inakosa msisimko.Mwenyekiti Mbowe amenukuliwa mara kwa mara akisifia utawala wa Mzee Ruksa na kuuponda huu wa sasa.Zitto Kabwe naye alipokuwa katika jimbo la uchaguzi la mhe W Ngeleja alimwasifa kwamba ni waziri hodari sana,na akamshauri ajiunge na Chadema.Propaganda zimeamia kwa mh A Kimaro naye ajiunge na Chadema ili aweze kupambana na ufisadi ?.

Hali inaweza kuwa mbaya sana kwa vyama vya upinzani kipindi cha uchaguzi iwapo A Kimaro,W Ngeleja na wabunge wengine wa CCM wanaosifiwa na viongozi waandamizi wa Chadema wataendelea kutetea viti vyao vya ubunge kupitia CCM.Fedha na muda wanaopoteza kusifia wabunge wa CCM inaonyesha wazi Operesheni Sangara ni mkakati wa hovyo.

Bado nasisistiza bila upinzani kuungana na kuwa kitu kimoja wasitarajie wataweza kuiondosha CCM madarakani.Fedha na muda wanazotumia Chadema lazima zilenge kuondoa CCM madarakani.Nasikitika kusema kwamba Chedema na Operasheni sangara wanazidi kuwaondolea wananchi wengi tuliokuwa na matumaini ya uchaguzi mkuu mwaka 2010.
Pole mkuu. Kila mtu ana haki ya kufikiriatakavyo japo fikra zingine hazifanani na ukweli uliopo!!
 
Mkandara Umejivua nguo Umebaki na boxer!

Uzi wa 2009 unaushadadia kama vile ni wa leo??

Nimekupuuza rasmi! punguan wahed!
Mtasema weee mwisho wa siku mtarudi hapa hapa panaitwa mtakuja!..Sijamtukana mtu yeyote ni hoja tu imewatoa povu na bado....baradhili mkubwa!..
 
Chadema inaanza kupoteza mwelekeo taratibu na hii operasheni sangara imekuwa sehemu ya propaganda zaidi badala ya kuwaambia watanzania watawafanyia nini.Maudhui ya karibu mikutano yote yanafanana kiasi kwamba mikutano inakosa msisimko.Mwenyekiti Mbowe amenukuliwa mara kwa mara akisifia utawala wa Mzee Ruksa na kuuponda huu wa sasa.Zitto Kabwe naye alipokuwa katika jimbo la uchaguzi la mhe W Ngeleja alimwasifa kwamba ni waziri hodari sana,na akamshauri ajiunge na Chadema.Propaganda zimeamia kwa mh A Kimaro naye ajiunge na Chadema ili aweze kupambana na ufisadi ?.

Hali inaweza kuwa mbaya sana kwa vyama vya upinzani kipindi cha uchaguzi iwapo A Kimaro,W Ngeleja na wabunge wengine wa CCM wanaosifiwa na viongozi waandamizi wa Chadema wataendelea kutetea viti vyao vya ubunge kupitia CCM.Fedha na muda wanaopoteza kusifia wabunge wa CCM inaonyesha wazi Operesheni Sangara ni mkakati wa hovyo.

Bado nasisistiza bila upinzani kuungana na kuwa kitu kimoja wasitarajie wataweza kuiondosha CCM madarakani.Fedha na muda wanazotumia Chadema lazima zilenge kuondoa CCM madarakani.Nasikitika kusema kwamba Chedema na Operasheni sangara wanazidi kuwaondolea wananchi wengi tuliokuwa na matumaini ya uchaguzi mkuu mwaka 2010.

WEWE HIYO CCM IMEKUFANYIA NINI.ZAIDI YA KUAMBIWA NA MGOMBEA WAO KUWA SITAWAANGUSHA?Hamanishi wewe kwani wewe ndio ulimteua!!Uliahidiwa na ccm nini na umepata nini?
 
Back
Top Bottom