Mbowe amekutana na Balozi wa Uingereza (British High Commissioner) David Concar hii leo kuzungumzia maswala kadhaa ya kuhusu siasa nchini Tanzania

Tuliwaambia Tangu Jana , nadhani sasa wanaelewa
Tunaelewa kaenda kumwambia kuwa tutaaandamana wakituvurumishia mabomu kama Lisu alivyofanya kukimbilia ubalozi wa Marekani na yeye Mbowe kamwambia kikiinuka nitakimbilia kwako jiandae kunipokea

Waandamanaji wengine watajijua kama ambavyo Lisu ,God bless Lema na Heche walitimkia nje wakaacha wengine wanyonge wanakiona Cha mtema Kuni

Mazungumzo ya kutafuta ukimbizi hayo anajiandalia mazingira yake na familia yake baada ya kuona Lisu na Godbless Lema familia zao zala Bata nje
 
CDM vibaraka wa wazungu, Pole sana Kagame na wenzio ambao mnaipigania Afrika, kumbe wapinzani wenu wanaenda kuitoa Afrika yotee bila huruma
 
CCM mkijifanya wajanja mnaorodheshwa kwenye orodha ya Vikundi vya Kigaidi mnachanganywa na Wahouthi wa Yemen.

Halafu kinachifuatia ni Air Strikes 😆🤣
 
Muraa lazima wataficha marungu wakiona ngozi nyeupe,

Na ingekuwa vizuri mabalozi wakaalikwa kushiriki maandamano ya Amani.
 
Freeman kawaweza safari hii..hahahaha..unamuita fala?...
Wewe maskini wa kutupwa....unamtukana Freeman?..
Unadharau wahubiri wa injili takatifu?...
Kaa chini tafakari...
 
Akienda hofu yako Nini? Wenye hatia siku zote ni waoga.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Waachwe waandamane kwa amani chini ya uangalizi wa polisi,mbona itatujenga sana nje ya nchi na ni haki yao ya demokrasia ili mama kwa mtihani huu apate high ranking! itamjenga kimkakati.
 
Haina tofauti yeyote na walamba miguu.

Mnashindwa kumaliza tofauti zenu ambazo kiuhalisia hazipo, halafu mnaenda kukatikakatika kama mbwa koko kwa Mabeberu?

Nimejaribu kufuta, haifutiki.
 
Ujinga mtupu

Kama umeamua kufanya maandamo nenda straight kwa wananchi, huyo Balozi ndio atandamana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…