Mbowe amekubali CHADEMA kimfie mikononi

1488314_185131778355725_308368871_n.jpg

nimeipenda sana hii
 
1488314_185131778355725_308368871_n.jpg




Zitto ukiacha kauli zake matendo yake sasa ni sawa na ule wimbo wa kale wa vikosi vya tz zidi ya amini wa "CHADEMA ikifa yeye awezi kulia atajiunga CCM awe mbunge wa kigoma".

Sababu ata mkakati wake wa ushindi hauonesi kwa uyakinifu mbinu mbadala alizotaka kujanazo ili kuijenga Chadema bali umejaa ukosoaji mkubwa kwa mwenyekiti wake tu.

Pili vitu alivyoviona kwenye uongozi wa juu wa Chadema Na kuvikosoa sana kama usiri kwenye matumizi ya fedha na swala la wapi wangepata fedha za uchaguzi 2015 na maamuzi makubwa kuwa mikononi mwa watu wachache ndivyo alivyokopi na kupesti na kuweka kwenye mkakati wake wa ushindi kwani.

Wapi wangepata pesa na zitumikaje kuupata uwenyekiti chadema lilibakizwa liwe siri kati ya MM NA M1 na hawakutaka ata wapambe wajue. Pili halipinga sana kitengo cha usalama kisichoonekana wakati anajua wazi ndicho kinachowaumbua mipango ya CCM dhidi ya viongozi wa chadema kama Kesi ya kugushi za kina Rwakatare, za kugushi za Mnyika aliyotaka kufunguliwa na mwigulu. Vyanzo vya Mabomu wanayopigwa na ndio usalama wa viongozi wa chadema na hajiulizi kwanini usalama wa taifa kwa asilimia nyingi ni invisible.

Kitu kibaya zaidi ata mkakati wa ushindi uliweka wazi mapungufu yake kama kuongozwa na Jazba akibuguziwa. Kutojua kuchagua maneno ya kuongea akibuguziwa lakini habadiliki mpaka sasa kwani toka avuliwe uongozi kauli zake zinakinzana mara.

Ukaguzi wa matumizi ya fedha mara uraisi mara mabilioni ya uswisi Sasa waelewa hatumuelewi. Tunasubili akivuliwa uanachama akamilishe sababu mbili za Mwisho Ukanda na Udini ili akiulie mbali Chadema.

Hata hivyo sababu ninayoielewa sana ata unishikie bunduki. Swala la katiba kubadilishwa kinyemela ili Mbowe awe mwenyekiti wa muda mrefu na kudumu chadema. Kwanini Mbowe afanye haya. Je hana mwingine kabisa anayemwamini ndani ya Chadema ata Afiche aibu zake za uroho wa madaraka. Mbowe ficha aibu zako bwana au waelewa huku mtaani hatukuungi mkono tumewaachia misukule. Kaka Freemani Alkael Mbowe unataka chama kikufie mikononi ili uende zako Uswisi ukamalizie akaunti zako. Siko upande wa zitto wala mbowe. Napenda mabadiliko ya kweli tu basi

Umesoma hadi darasa la ngapi? Mbona hueleweki?
 
Umesoma hadi darasa la ngapi? Mbona hueleweki?

mi ni Dr Mshumbusi. Vipi we ni muhariri nini? Wa gazeti gani la udaku. Katika habari nzima unaangalia makosa. Nasikia ata darasani ulikuwa unakumbuka sehemu ambayo mwalimu anachapia tu au kukosea
 
1488314_185131778355725_308368871_n.jpg




Zitto ukiacha kauli zake matendo yake sasa ni sawa na ule wimbo wa kale wa vikosi vya tz zidi ya amini wa "CHADEMA ikifa yeye awezi kulia atajiunga CCM awe mbunge wa kigoma".

Sababu ata mkakati wake wa ushindi hauonesi kwa uyakinifu mbinu mbadala alizotaka kujanazo ili kuijenga Chadema bali umejaa ukosoaji mkubwa kwa mwenyekiti wake tu.

Pili vitu alivyoviona kwenye uongozi wa juu wa Chadema Na kuvikosoa sana kama usiri kwenye matumizi ya fedha na swala la wapi wangepata fedha za uchaguzi 2015 na maamuzi makubwa kuwa mikononi mwa watu wachache ndivyo alivyokopi na kupesti na kuweka kwenye mkakati wake wa ushindi kwani.

Wapi wangepata pesa na zitumikaje kuupata uwenyekiti chadema lilibakizwa liwe siri kati ya MM NA M1 na hawakutaka ata wapambe wajue. Pili halipinga sana kitengo cha usalama kisichoonekana wakati anajua wazi ndicho kinachowaumbua mipango ya CCM dhidi ya viongozi wa chadema kama Kesi ya kugushi za kina Rwakatare, za kugushi za Mnyika aliyotaka kufunguliwa na mwigulu. Vyanzo vya Mabomu wanayopigwa na ndio usalama wa viongozi wa chadema na hajiulizi kwanini usalama wa taifa kwa asilimia nyingi ni invisible.

Kitu kibaya zaidi ata mkakati wa ushindi uliweka wazi mapungufu yake kama kuongozwa na Jazba akibuguziwa. Kutojua kuchagua maneno ya kuongea akibuguziwa lakini habadiliki mpaka sasa kwani toka avuliwe uongozi kauli zake zinakinzana mara.

Ukaguzi wa matumizi ya fedha mara uraisi mara mabilioni ya uswisi Sasa waelewa hatumuelewi. Tunasubili akivuliwa uanachama akamilishe sababu mbili za Mwisho Ukanda na Udini ili akiulie mbali Chadema.

Hata hivyo sababu ninayoielewa sana ata unishikie bunduki. Swala la katiba kubadilishwa kinyemela ili Mbowe awe mwenyekiti wa muda mrefu na kudumu chadema. Kwanini Mbowe afanye haya. Je hana mwingine kabisa anayemwamini ndani ya Chadema ata Afiche aibu zake za uroho wa madaraka. Mbowe ficha aibu zako bwana au waelewa huku mtaani hatukuungi mkono tumewaachia misukule. Kaka Freemani Alkael Mbowe unataka chama kikufie mikononi ili uende zako Uswisi ukamalizie akaunti zako. Siko upande wa zitto wala mbowe. Napenda mabadiliko ya kweli tu basi
Mzimu wa Chacha Wangwe umemkalia vibaya tena kooni kwani Tokea Afariki hajawahi kumkumbuka
Wala kulipia Bango TBC la kumkumbuka
 
Back
Top Bottom