Lengo la Mbowe ni kuifikisha CHADEMA 2025 ikiwa dhaifu

Mtanke

JF-Expert Member
Nov 19, 2011
715
1,774
Bila shaka Mbowe yuko kwenye mpango mkakati wa Mama Samia. Matendo yake ni dhahiri. Mbowe atakuja na program za geresha na atang'ang'ania Uenyekiti ili come 2025 CHADEMA iwe haina Agenda wala dira kumpa unafuu Mama. Si ajabu hata akasusia na chaguzi zenyewe
 
Back
Top Bottom