Mbowe: Alichowasilisha Wenje ni Msimamo wa Kambi ya Upinzani

Huu ni mwendelezo wa kile ambacho kimeridhiwa kwa manufaa ya kisiasa.

Kumbuka kuna kipindi gari la kazi za KUB ambalo anatumia Mh. Mbowe lilipata matatizo Kenya na katika safari hiyo, Mh. Mbowe alikuwa ameambatana na guess who?. Mh. Wenje.

Gari waliamua kuiacha Mombasa wakaamua kumalizia safari zao kwa usafiri mwingine. guess walikuwa wanaenda kukutana na nani? kwa faida ya nani?.

Haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya. Hata Rais Paul Kagame alishawahi kutumia reference ya msimamo wa CHADEMA katika hotuba yake.

Rais Kagame said last year, "he will wait for the right moment and hit Kikwete hard." This is the moment!

We knew it was coming!

Rais Kikwete husema, akili za kuambiwa changanya na zako!.
Siegemei upande wowote lakini hizi hoja zako.. mhh, kwa kweli sio za GT kama ambavyo ingetarajiwa.
 
Huu ni mwendelezo wa kile ambacho kimeridhiwa kwa manufaa ya kisiasa.

Kumbuka kuna kipindi gari la kazi za KUB ambalo anatumia Mh. Mbowe lilipata matatizo Kenya na katika safari hiyo, Mh. Mbowe alikuwa ameambatana na guess who?. Mh. Wenje.

Gari waliamua kuiacha Mombasa wakaamua kumalizia safari zao kwa usafiri mwingine. guess walikuwa wanaenda kukutana na nani? kwa faida ya nani?.

Haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya. Hata Rais Paul Kagame alishawahi kutumia reference ya msimamo wa CHADEMA katika hotuba yake.

Rais Kagame said last year, "he will wait for the right moment and hit Kikwete hard." This is the moment!

We knew it was coming!

Rais Kikwete husema, akili za kuambiwa changanya na zako!.
Bila mahusiano mazuri na majirani,ni hatari kwa usalama wa nchi.
Mwaka jana Rais Kagame aliamua kupitisha bidhaa toka bandari ya mombasa kupitia kenya,uganda na kisha Rwanda,haitoshi Rais Kenyatta alimwalika Rais kagame na Rais Mseveni kwenye uzinduzi wa treni itakayojengwa kuanzia mombasa nakuziunganisha nchi za kenya,Uganda ,Rwanda,sudani kusini,Burundi,na hatimaye congo,
Haishi kenyatta aliwaalika marais wa nchi hizi tatu kuongea nao bila Rais wetu kualikwa!
Haitoshi katika ushirikiano wa nchi hizi za maziwa makuu ,kuna tofauti kubwa ya patriotism,wakati kagame akiijenga nchi yake sisi tunatorosha fedha na kuingia mikata ya hovyo huku kwa nguvu kubwa tukijaribu kuificha wasijue wengi,
La kutisha zaidi ni kwamba hata ushirikiano wa Afrika mashariki unalegalega wanyarwanda wanapata nafasi bora zaidi kuliko watanzania!
Itoshe kusema Membe umechemka umeshindwa kujua kuwa tunapozingumzia wanyarwanda na warundi,tunazungumzia kaka,dada,shemeji,babamkwe na mababu wako kule,leo chadema wanakueleza namna ya kujenga uhusiano mzuri nao unasema ,mbunge wa Tanzania hawezi kutetea nchi nyingine huo ni kukosa uzalendo?
Nadhani Tanzania ni Afrika,chadema wasibezwe uhusiano mzuri utatufanya tupate nafasi kwa diplomasia ya uchumi na kuinua uchumi wetu.Badala ya wao kupitisha bidhaa zao kenya na uganda wapitishe Tanzania kupitia Reli ya kati,ccm rejeeni " Siasa ya kutofungamana na upande wowote"
 
binafsi naunga mkono maoni haya ya kambi ya upinzani! Haiwezekani tupeleke drc majeshi yetu kwa kupambana na waasi,je sisi watanzania wametuathiri nin? Hongereni wapinzani kwa kuwa wakweli!

kwahiyo wewe moto ukiwaka kwa jirani hauendi kusaidia kuzima kwasababu haukuathiri wewe!? Shame on you chadema!!! Hamjui hata maana ya uhusiano na ushirikiano wa kimataifa!
 
Goma kuna fashion show week hii. Utulivu huu haukuwepo hapo nyuma. Kazi nzuri ya Monusco imefanya mambo yamekuwa shwariii
 
wewe ni mpagani, kwa sababu kama unaona kuwasaidia DRC ili waishi kwa amani ni vibaya kisa wewe sio mtu wa DRC basi hata ukitokea msiba kwa jirani yako unaweza usiende kuhani kisa wewe sio mwana familia wa huo msiba. kenge mkubwa akili kama za wenje pu-mba-fuuuuuu!!!!
teh teh, sijui unatumia akili gani mkuu kuandika hayo uliyoandika! Kama lengo ni kusaidia majirani kwa nini msaidie Drc tu? Mbona somalia hamuendi? Mbona kuna raia wasio na hatia wanapigwa na askari na kufa mbona hamuwasaidii? Hayo mawazo mfu uliyonayo ndo waliyonayo mainterahamwe wengi, ndo yamerudisha nyuma taifa hili kwa muda wa miaka 50 zaidi! Vita haitulizwi kwa vita, bali kwa mashauriano zaidi. Ccm wanatambue wataiingiza tanzania kwenye uadui usio na maana na majirani zetu pasipo sababu! Narudi tena Kambi ya upinzani wamewatendea haki watanzania kwa hili!
 
kwahiyo wewe moto ukiwaka kwa jirani hauendi kusaidia kuzima kwasababu haukuathiri wewe!? Shame on you chadema!!! Hamjui hata maana ya uhusiano na ushirikiano wa kimataifa!
haa haa, kweli we ni mbulumundu! Hivi ushirikiano wa kimataifa ni kupeleka tu vikosi vya jeshi nje? Je diplomasia kazi yake ni nini? Ndugu yangu mambo ya usalama wa nchi yetu usiyafanyie siasa! Vita sio jambo zuri, angalia majirani zetu kenya wanachokipata baada ya kujiingiza kijeshi somalia! Wake up na acha uchabiki usio na maana!
 
wewe ni mpagani, kwa sababu kama unaona kuwasaidia DRC ili waishi kwa amani ni vibaya kisa wewe sio mtu wa DRC basi hata ukitokea msiba kwa jirani yako unaweza usiende kuhani kisa wewe sio mwana familia wa huo msiba. kenge mkubwa akili kama za wenje pu-mba-fuuuuuu!!!!
mkuu TANZANIA inafaidika sana na amani ya DRC kwani watanzania wengi wanajishughulisha na biashara huko, bila amani tutaendelea kubanana KARIAKOO
 
Ni wakati Sasa prof Lipumba kujitoa ukawa maana kama anajidhalilisha Kuwa ktk muungano na chama cha wajinga.
 
siegemei upande wowote lakini hizi hoja zako.. Mhh, kwa kweli sio za gt kama ambavyo ingetarajiwa.

lisemwalo lipo kama halipo laja! Hawa wapinzani ni wakuangalia sana, hii ni hatari kama hawawezi kusimama wenyewe kuikomboa nchi hii kama alivyofanya mwalimu nyerere basi tutafute chama mbadala kabla hatujauzwa kama wacongo katika mkataba wa lamera
 
lisemwalo lipo kama halipo laja! Hawa wapinzani ni wakuangalia sana, hii ni hatari kama hawawezi kusimama wenyewe kuikomboa nchi hii kama alivyofanya mwalimu nyerere basi tutafute chama mbadala kabla hatujauzwa kama wacongo katika mkataba wa lamera
teh teh, chama kingine kipi? Si unacho tayari cha ccm? Maana mnashabikia vita, mnafikiri vita ni sawa na takrima!
 
teh teh, pole sana hapo lumumba, unajua maana ya bunge wewe? Kwa taarifa yako tu pale bungeni kuna kinga maalumu kwa wabunge..

hamna kinga kwa yeyote anayelihujumu taifa, katiba ya nchi yangu haisemi hivyo, labda katika ardhi inayoongozwa na genge la kihuni kama rwanda ulikokukimbia
 
tangu tanzania ilipopeleka majeshi yake drc watanzania tumefaidika nini? Kama hakuna faida kwanini tupoteze nguvu zetu bure? Chadema wanamanisha membe aache kuropoka pasipo na ushahidi wa kutosha. Kabla kagame na kikwete hawajatofautiana kisiasa, membe hakumtuhumu kagame kwa kushirikiana na waasi m23, hali wakati huo kagame alikuwa na tuhuma hizo. Baada ya mahusiano ya jk na kagame kuharibika leo ndio membe anathubutu kupanua domo na kutamka kauli inayozidi kuchochea tuhuma zilizokuwepo tangu awali tena bila uthibitisho wowote. Membe atambue kuwa watanzania hatutaki vita nyingine kwani vita yetu ni ukimwi, ufisadi, rushwa, njaa na u-ccm ni vita tosha kwetu. Tunamuomba arudishe majeshi yetu yaliyopo drc na aachane na kagame na tuhuma zake kwani membe sio mahakama ya tuhuma za kagame na aache ukihelehele. Atupe majibu ya tufanye nini ili tanzania tuwe moja ya mataifa tajiri duniani na sio 'upumbafupumbafu' anaoongea usio na faida yoyote kwa taifa.

watanzania tumefaidika sana, mzigo wa kubeba wakimbizi kutoka drc umepungua sana na biashara kati ya watanzania na wacongo imeongezeka sana.
 
Bila mahusiano mazuri na majirani,ni hatari kwa usalama wa nchi.
Mwaka jana Rais Kagame aliamua kupitisha bidhaa toka bandari ya mombasa kupitia kenya,uganda na kisha Rwanda,haitoshi Rais Kenyatta alimwalika Rais kagame na Rais Mseveni kwenye uzinduzi wa treni itakayojengwa kuanzia mombasa nakuziunganisha nchi za kenya,Uganda ,Rwanda,sudani kusini,Burundi,na hatimaye congo,
Haishi kenyatta aliwaalika marais wa nchi hizi tatu kuongea nao bila Rais wetu kualikwa!
Haitoshi katika ushirikiano wa nchi hizi za maziwa makuu ,kuna tofauti kubwa ya patriotism,wakati kagame akiijenga nchi yake sisi tunatorosha fedha na kuingia mikata ya hovyo huku kwa nguvu kubwa tukijaribu kuificha wasijue wengi,
La kutisha zaidi ni kwamba hata ushirikiano wa Afrika mashariki unalegalega wanyarwanda wanapata nafasi bora zaidi kuliko watanzania!
Itoshe kusema Membe umechemka umeshindwa kujua kuwa tunapozingumzia wanyarwanda na warundi,tunazungumzia kaka,dada,shemeji,babamkwe na mababu wako kule,leo chadema wanakueleza namna ya kujenga uhusiano mzuri nao unasema ,mbunge wa Tanzania hawezi kutetea nchi nyingine huo ni kukosa uzalendo?
Nadhani Tanzania ni Afrika,chadema wasibezwe uhusiano mzuri utatufanya tupate nafasi kwa diplomasia ya uchumi na kuinua uchumi wetu.Badala ya wao kupitisha bidhaa zao kenya na uganda wapitishe Tanzania kupitia Reli ya kati,ccm rejeeni " Siasa ya kutofungamana na upande wowote"

Mhh! Yaani wewe Chadema inakufanya mpaka unakuwa mwehu kushindwa kujitambua:A S-confused1::A S-confused1:?! Nyamambu nyie vibaraka msioweza kufikiria vizuri.

Kwa taarifa yako pamoja na heka heka zote za Kagame kukwepa bandari ya Dar bado mwezi March na April zaidi ya nusu za bidhaa zake zimepitia hapo. Hakuna mfanyabiashara mjinga mle akatumia Mombasa almost 400km longer. Na wewe pia unatakiwa uvijue hivi ili uweze kuongea points. Siyo utumbo ati kwa kuwa Chadema imekukaa na kukupotezea medual oblongata
 
teh teh, sijui unatumia akili gani mkuu kuandika hayo uliyoandika! Kama lengo ni kusaidia majirani kwa nini msaidie Drc tu? Mbona somalia hamuendi? Mbona kuna raia wasio na hatia wanapigwa na askari na kufa mbona hamuwasaidii? Hayo mawazo mfu uliyonayo ndo waliyonayo mainterahamwe wengi, ndo yamerudisha nyuma taifa hili kwa muda wa miaka 50 zaidi! Vita haitulizwi kwa vita, bali kwa mashauriano zaidi. Ccm wanatambue wataiingiza tanzania kwenye uadui usio na maana na majirani zetu pasipo sababu! Narudi tena Kambi ya upinzani wamewatendea haki watanzania kwa hili!

Chanzo cha mgogoro huu ni nini?.... KIKWETE KUSHAURI MAZUNGUMZO! sasa unalaumu kitu gani? Lawama zote hapo juu zinatakiwa kuelekezwa kwa KAGAME! ambaye yeye kashauriwa kuzungumza na maadui zake, anatishia kutupiga!
 
Bila mahusiano mazuri na majirani,ni hatari kwa usalama wa nchi.
Mwaka jana Rais Kagame aliamua kupitisha bidhaa toka bandari ya mombasa kupitia kenya,uganda na kisha Rwanda,haitoshi Rais Kenyatta alimwalika Rais kagame na Rais Mseveni kwenye uzinduzi wa treni itakayojengwa kuanzia mombasa nakuziunganisha nchi za kenya,Uganda ,Rwanda,sudani kusini,Burundi,na hatimaye congo,
Haishi kenyatta aliwaalika marais wa nchi hizi tatu kuongea nao bila Rais wetu kualikwa!
Haitoshi katika ushirikiano wa nchi hizi za maziwa makuu ,kuna tofauti kubwa ya patriotism,wakati kagame akiijenga nchi yake sisi tunatorosha fedha na kuingia mikata ya hovyo huku kwa nguvu kubwa tukijaribu kuificha wasijue wengi,
La kutisha zaidi ni kwamba hata ushirikiano wa Afrika mashariki unalegalega wanyarwanda wanapata nafasi bora zaidi kuliko watanzania!
Itoshe kusema Membe umechemka umeshindwa kujua kuwa tunapozingumzia wanyarwanda na warundi,tunazungumzia kaka,dada,shemeji,babamkwe na mababu wako kule,leo chadema wanakueleza namna ya kujenga uhusiano mzuri nao unasema ,mbunge wa Tanzania hawezi kutetea nchi nyingine huo ni kukosa uzalendo?
Nadhani Tanzania ni Afrika,chadema wasibezwe uhusiano mzuri utatufanya tupate nafasi kwa diplomasia ya uchumi na kuinua uchumi wetu.Badala ya wao kupitisha bidhaa zao kenya na uganda wapitishe Tanzania kupitia Reli ya kati,ccm rejeeni " Siasa ya kutofungamana na upande wowote"

1. Ikiwa jirani yako anawatuma vijana wake kwenda kupora kwa jirani wa pili na wewe ukaangalia tu, jua ipo siku watahamia kwako baada ya kukomba kwa jirani wa pili.
2. Uhusiano wa 3k ni kimkakati na wa kutia mashaka.
3. Hotuba ya upinzani inadhihirisha uroho wa madaraka bila kujali uzalendo kwa nchi yao. Si kila kitu kinafaa kupingwa.
4. Kauli ya Membe kuhusu uhusiano wa rwanda na m23 inadhihilisha lack of deplomatic skills.
Note: Tz kwanza vyama baadae.
 
Back
Top Bottom