Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Umemaliza kaziPamoja na punda waliohamishiwamo.
Umemaliza kaziPamoja na punda waliohamishiwamo.
Mwendazake hakuwa na ubavu wala haitokuja akawa tena na ubavu hata kwa kutumia mizimu akuimaliza cdm.
Wanakera sana hawa mburula!Wachana na chawa wa ccm walioingia jf baada ya uchaguzi wa 2015
Huyo hana A wala B juu ya mambo ya siasa bali ni mihemuko ya kupewa buku 7 tuInawezekana usijue hata mfumo ulivyo.
Kama unajua na unaamini mfumo, nadhani utakuwa unajua CHAMA ni nini maana yake.
Anyway unaweza kuwa na mtazamo wako lakini usikubaliwe vilevile.. Mbowe siyo CDM na Lema siyo be Nguzo.
Alijaribu kuiua lkn akafa yeyeIkifa si ndo vzr Sasa mnapenda Lumumba,,au mwendazake hakuiua
Ndiyo maana naichukia sana ccm.Wanakera sana hawa mburula!
Nasema tena, Katiba mpya na nzuri sio suluhisho nchi za Afrika, viongozi wetu hakuna kinachowalazimisha kuishi kwa mujibu wa katibaWachana na chawa wa ccm walioingia jf baada ya uchaguzi wa 2015
Mimi sijui cdm haijakufa kivipi, Haina mbunge, Haina diwani, Haina halmashauri, Haina hata kitongoji Wala amshaamsha Iko hai kivipi?Mwendazake hakuwa na ubavu wala haitokuja akawa tena na ubavu hata kwa kutumia mizimu akuimaliza cdm.
Binadamu wanasahau kama Dunia ni ya mola.Mwendazake hakuwa na ubavu wala haitokuja akawa tena na ubavu hata kwa kutumia mizimu akuimaliza cdm.
Ndiiiiyoo🏃🏃🤸♂️🤸♂️Mbowe yuko maabusu, Lissu na Lema wako uhamishoni.
Je, huu ndio mwisho wa CHADEMA?
Je Dua la kuku nalo Lina mpataamo mwewe🤔?Ndiiiiyoo🏃🏃🤸♂️🤸♂️
Ndivyo mnavyodanganyana huko kwenye corridos za lumumba?Mbowe yuko maabusu, Lissu na Lema wako uhamishoni.
Je, huu ndio mwisho wa CHADEMA?
Kwani huyo hajui wanalumumba wamembambikia Tena kisiasa, na mambo yote wanayaendesha kisiasa🤔.Ndivyo mnavyodanganyana huko kwenye corridos za lumumba?
Kule kwa akina Huihui?Kuna kesi ya kumfunga mtu hapo ndugu ? Ni kesi ya kulidhalilisha taifa letu ndani na je ya nchi. Aibu tupu.
Kama hatuwezi hata kufuata sheria zetu wenyewe tulizojitungia..hivi hayo maendeleo yatatoka wapi ?
Yaani ni kama jamhuri ya wagagagigikoko
Kesi ni ya kisiasa from the beggining.Kwani huyo hajui wanalumumba wamembambikia Tena kisiasa, na mambo yote wanayaendesha kisiasa🤔.
Kwani Chama kilicho hai kina sifa zipi?Mbona mnateseka sana Simlisema MAGUFULI KAIUA CHADEMA SASA IFE MARA NGAPI? NI KICHAA TU NDIO ANAWAZA KAMA WEWE
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Tusijidanganye, Mababeru hawajali kuhusu demokrasia zetu, wanachojali ni maslahi Yao TU kwetu. Kama dhahabu wanapata hawana shida ya demokrasia zetu, utalalamika na kushitakiweeee kwao kuhusu ukosefu wa katiba mpya na demokrasia lakini wapi!! Ndio maana Kagame na Museven ni rafiki zao ingawa ni ving'ang'anizi madarakani, Kenya Kuna ukabila lakini ni marafiki zao. Hivyo, Lisu na Lema rudini nchini hao mabeberu hawawezi kuwasaidia kuleta demokrasia nchini bila ya nyie wenyewe.Kuna kesi ya kumfunga mtu hapo ndugu ? Ni kesi ya kulidhalilisha taifa letu ndani na je ya nchi. Aibu tupu.
Kama hatuwezi hata kufuata sheria zetu wenyewe tulizojitungia..hivi hayo maendeleo yatatoka wapi ?
Yaani ni kama jamhuri ya wagagagigikoko
Kama asingekuwa mbowe cdm wasingesusia mazungumzo yanayoendelea kwasababu mbowe Yuko ndani. Wanachofanya cdm ni kuwasusia shamba ngedere.Nani kakuambia chadema ni mbowe?