Mbowe akifungwa CHADEMA inakufa?

Mbowe akifungwa CHADEMA inakufa?

Tuliza akili huenda ukawaelewa chadema kuliko wengine wote na hata ukawa mwanachama mwaminifu na mzalendo, wasichotaka chadema ni kushiriki chafuzi badala ya uchaguzi, dai la msingi ni katiba mpya ya wananchi ambayo ndani yake inapatikana tume huru ya uchaguzi. Kurudi bila wasiojulikana kujulikana na hatua kuchukuliwa bado inaweza isiwe salama, kwani anayokumbukumbu ya ulemavu aliosababishiwa na ambao hakuna aliyefanya chochote hadharani hata tu kukemea uhalifu ule wa viwango vile, zaidi ya kejeli na kebehi za wazi. Na zaidi kejeli na kebehi zikachagizwa na dhuluma ya haki zake za msingi Kwa visingizio vya wachache sijui kwa utashi wao au kwa maelekezo. wewe unasemaje mwenzetu kama binadamu wa kawaida bila kuzingatua mamlaka au wadhifa ulionao🤔.
Bro katiba mpya sio mwarobaini wa siasa za vyama vingi, hata Marekani bado wanalia na tume Yao ya uchaguzi. Katiba yetu ya Sasa inaruhusu uhuru wa vyama kufanya siasa muda wake lakini uhuru huo umepokwa na watu kwa sababu ambazo ziko nje ya Katiba. Namshangaa sana mtu anapodai Katiba mpya kwa nguvu zake zote. Viongozi wa Africa hawafuati yaliyomo kwenye Katiba na wanaweza hata kuzibadilisha katiba kwa manufaa Yao.

Hivyo, kitakacholeta nafuu sio katiba mpya bali nguvu ya umma inayofahamu haki zao. Nguvu ya umma inajengwa kwa vitendo sio kwa kutoroka nchi, kutoroka nchi na kwenda kubwekea nje kunawatia woga wananchi wenye mawazo mbadala, makaburi ya watu wenye mawazo mbadala lazima yawe hapahapa Tanzania.
 
Wewe huoni au unataka sifa TU. Chama hakishiriki kwenye chochote Sasa hivi hadi mbowe aachiwe bila mashariti, Sasa hata mnyika ni haramu kishiriki kwenye chochote hadi mwenyekiti atoke bila mashariti, Use and disuse effect. Asiyekuwepo machoni na moyoni hatakuwepo.

Chama ni Imani na Imani inarithiwa na vizazi. Hawa watoto ambao ndo wanaanza kupata akili Sasa hivi hawajui kama Kuna chadema, maana hakionekani mitaani Wala kwenye media. Kimebakia kuwa Chama Cha kwenye yu-tube.

Lisu na Lema kuishi nje ya Nchi kunaua chama, vijana wanakata tamaa, hasa wale ambao hawana uwezo wa kwenda kuishi nje ya Nchi kama Lema na Lisu kama mambo yataharibika nchini. Watasema present is known and secure.
Una kaubishi fulani akina mama wanauita "amazing"!
 
... Chadema itakufa mara tu mbingu zitakapotoweka; lakini kwa hakika, kama Mbingu ziishivyo, Chadema itadumu. Mungu atawainulia kiongozi mwingine atakayewaongoza.
Ubarikiwe sana mkuu
 
Kwanini ife?

Kwani Mbowe ndo mwenyekiti wa kwanza kuongoza CHADEMA?!

Au umeanza kufuatlia siasa baada ya kuingia simu za Kichina zenye internet access?
Wachana na chawa wa ccm walioingia jf baada ya uchaguzi wa 2015
 
Mbowe yuko maabusu, Lissu na Lema wako uhamishoni.

Je, huu ndio mwisho wa CHADEMA?
Inabidi ujiulize akifungwa kwa kesi mbovu hivi itakuwaje kwa jamii ? sio Mbowe au Chadema bali jamii. Kama unafikiria hii kesi ni ya Chadema pekee hufahamu nchi vizuri
 
Nilikuwa nami najua hivyo, lakini kumbe sivyo bhana, chadema inaonekana kama imeparalyse kabisa, haishiriki kwenye chochote eti kwakuwa mwenyekiti wao Yuko mahabusu na akina Lisu wako uhamishonii. Hawashiriki kwenye chaguzi ndogo Wala kwenye mazungumzo na hayo sio maamuzi ya mkutano mkuu wa chadema bali ni maamuzi ya viongozi wachache wa chadema.

Mh. Lisu kasema harudi mpaka ahakikishiwe kupewa na serikali ma body guards wa kumlinda binafsi, je sharti hili lisipotimizwa na mbowe akifungwa ndiyo chadema imekufa?
Kwani leo hii siyo zamu ya kulinda kaburi?
 
Wewe huoni au unataka sifa TU. Chama hakishiriki kwenye chochote Sasa hivi hadi mbowe aachiwe bila mashariti, Sasa hata mnyika ni haramu kishiriki kwenye chochote hadi mwenyekiti atoke bila mashariti, Use and disuse effect. Asiyekuwepo machoni na moyoni hatakuwepo.

Chama ni Imani na Imani inarithiwa na vizazi. Hawa watoto ambao ndo wanaanza kupata akili Sasa hivi hawajui kama Kuna chadema, maana hakionekani mitaani Wala kwenye media. Kimebakia kuwa Chama Cha kwenye yu-tube.

Lisu na Lema kuishi nje ya Nchi kunaua chama, vijana wanakata tamaa, hasa wale ambao hawana uwezo wa kwenda kuishi nje ya Nchi kama Lema na Lisu kama mambo yataharibika nchini. Watasema present is known and secure.
Wewe nenda ukachunge nguchiro kwenu burigi
 
Mbowe yuko maabusu, Lissu na Lema wako uhamishoni.

Je, huu ndio mwisho wa CHADEMA?
Chadema gani tena jamani mbona ilikufa na mwendazake!

20220110_102359.jpg
 
Bro katiba mpya sio mwarobaini wa siasa za vyama vingi, hata Marekani bado wanalia na tume Yao ya uchaguzi. Katiba yetu ya Sasa inaruhusu uhuru wa vyama kufanya siasa muda wake lakini uhuru huo umepokwa na watu kwa sababu ambazo ziko nje ya Katiba. Namshangaa sana mtu anapodai Katiba mpya kwa nguvu zake zote. Viongozi wa Africa hawafuati yaliyomo kwenye Katiba na wanaweza hata kuzibadilisha katiba kwa manufaa Yao.

Hivyo, kitakacholeta nafuu sio katiba mpya bali nguvu ya umma inayofahamu haki zao. Nguvu ya umma inajengwa kwa vitendo sio kwa kutoroka nchi, kutoroka nchi na kwenda kubwekea nje kunawatia woga wananchi wenye mawazo mbadala, makaburi ya watu wenye mawazo mbadala lazima yawe hapahapa Tanzania.
Acha kunidanganya labda uwadanganye wadanganyika wale wa mwaka47. Kama ziro ana uhuru wa kukiuka katiba kwa anayetoa mawazo Kwa uhuru unaotolewa kwenye katiba na akaukanyaga uhuru wa mtu huyo, je vipi mwenye mamlaka zaidi yake, je katiba haitoi uhuru wa kukusanyika, ndani ya katiba chakavu karibia miaka Saba chama 💰kimejipa uhuru wakufanya Yale waliyoyaharamisha Kwa vyama vya siasa vilivyo anzishwa Kwa mujibu wa katiba.
 
Wewe huoni au unataka sifa TU. Chama hakishiriki kwenye chochote Sasa hivi hadi mbowe aachiwe bila mashariti, Sasa hata mnyika ni haramu kishiriki kwenye chochote hadi mwenyekiti atoke bila mashariti, Use and disuse effect. Asiyekuwepo machoni na moyoni hatakuwepo.

Chama ni Imani na Imani inarithiwa na vizazi. Hawa watoto ambao ndo wanaanza kupata akili Sasa hivi hawajui kama Kuna chadema, maana hakionekani mitaani Wala kwenye media. Kimebakia kuwa Chama Cha kwenye yu-tube.

Lisu na Lema kuishi nje ya Nchi kunaua chama, vijana wanakata tamaa, hasa wale ambao hawana uwezo wa kwenda kuishi nje ya Nchi kama Lema na Lisu kama mambo yataharibika nchini. Watasema present is known and secure.
Inawezekana usijue hata mfumo ulivyo.

Kama unajua na unaamini mfumo, nadhani utakuwa unajua CHAMA ni nini maana yake.

Anyway unaweza kuwa na mtazamo wako lakini usikubaliwe vilevile.. Mbowe siyo CDM na Lema siyo be Nguzo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom