BBJ
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 1,181
- 160
Mkuu ule WARAKA bado unao?Nitupie ktk alfred.geofrey@yahoo.com.Ukiweka hapa Mods watausizisha.ccm bado mbumbumbu hawasomi alama za nyakati. wanatakiwa pia wasome na ule waraka wa wanajeshi kuasi.
Mkuu ule WARAKA bado unao?Nitupie ktk alfred.geofrey@yahoo.com.Ukiweka hapa Mods watausizisha.ccm bado mbumbumbu hawasomi alama za nyakati. wanatakiwa pia wasome na ule waraka wa wanajeshi kuasi.
Hahahahahah, aswekwe ndani tu huyo.
danganya toto...matahaira bac watamuona shujaa!..kama shujaa mbna alikimbia? Na kaka yake c ndo aljfcha kwny spika!!hahah kama namuona vlee na kibastola chake...nakumbuka zamaaanii ndo ilkua michezo yetu ile dishwaa dishwaadishwaa..yoo
Viongozi tena watu wazima kabisa wanabehave kama watoto..Wanamchelewesha nini? Wamwahishe fasta huko Kisongo.
Huko ndiko wanakostahili kukaa wahalifu.
danganya toto...matahaira bac watamuona shujaa!..kama shujaa mbna alikimbia? Na kaka yake c ndo aljfcha kwny spika!!hahah kama namuona vlee na kibastola chake...nakumbuka zamaaanii ndo ilkua michezo yetu ile dishwaa dishwaadishwaa..yoo
Viongozi tena watu wazima kabisa wanabehave kama watoto..
Wanategemea huruma ya wananchi! Huu ni upuuzi..wakafie huko gerezani tu!
Hahahahah...CDM Gari bovu...wameishiwa sera!
Hahahahahah, aswekwe ndani tu huyo.
Wananchi wameshachoshwa na vitendo vyao.msimu huu wananchi wamesema hawadanganyiki tena.
Nimeota, nimeota, nimeota Tanzania imepata ukombozi