spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,226
Wakati ni Hakimu Mzuri sana. Habari hii iliandikwa March, 2011 lakin Leo hii Ina sound zaid kuliko Siku iliyoandikwa!
Jamaa kawadodea
Wakati ni Hakimu Mzuri sana. Habari hii iliandikwa March, 2011 lakin Leo hii Ina sound zaid kuliko Siku iliyoandikwa!
kukalia kitu cha Uenyekiti wa chadema makao makuu, ni miaka mingapi ?
Naomba jibu kutokana na katiba ya chama inavyosema.Miaka atakayoamua Mzee Mtei
Ni kama korea kaskazinikukalia kitu cha Uenyekiti wa chadema makao makuu, ni miaka mingapi ?
Kwa nini huendelei kuhoji haya siku hizi?Naomba jibu kutokana na katiba ya chama inavyosema.
Hujipendi eeh?!Makubwa haaya! JF ni komesha, JF inatunza kumbukumbu! ahsante JF kumbe mpango wa EDO na Mr. Eyes ni wa miaka mingi!
PCCB chunguzeni hii kitu.Hujipendi eeh?!
Duh hili nalo ni neno kwa kwel aseeeeView attachment 600373
Akipiga mkubwa, amebadili gia angani, mdogo amehongwa. Hahahaaa.
Najua umebadilisha ID, lakini bado una imani na hiki ulichoandika?chadema wana malengo yao makini hata iweje 2015 wanashika dora.... Kwani 2015 ni cdm tu.
Ushahidi mtazame fisadi Losassa yuko kwao leoTULETEENI KAUSHAHIDI KAMA KALIKOMGUSA MNYETI !!!!
Hahahaaa, nyumbu ndio zao , hawakati tamaa kuvuka mto hata kama mwenzao ameshanaswa na Mamba.Najua umebadilisha ID, lakini bado una imani na hiki ulichoandika?
KAITIA TAKOKURU MFUKONI ?Ushahidi mtazame fisadi Losassa yuko kwao leo