Sasa ndio muda wa kumkumbuka Slaa
...hata hili mbowe ajitokeze kukanusha??we muombe Nape akupe risiti za mauzo
Hiyo aliesema ndio umuulize
anaulizwa alioambiwa ajibu nyinyi vipi mnaleta akili za nyumbu kwenye mada
rashid bade lazima afatilie kodi yetu hapo biashara imefanyika
katika uchuguzi kuna vyama vinapata hasara wakati wa kampeni ila mwenyekiti wa chadema amenufaika kwa kuuza chama mbowe kwa lowasa.
pamoja na nguvu ya wanachama wa
chama hicho.
sasa biashara imefanyika tunataka
kodi.
rais magufuli kishatoa notis siku
saba kwa wakwepaji kodi kulipa