Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

20151018233441 (1).jpg
Mtu na baba mkwe ake walikula mkwanja du, ni hatari
 
View attachment 300610
Mtu na baba mkwe ake walikula mkwanja du, ni hatari

Chadema wote wapiga dili, kama wamechangamkia pesa ya Lowasa wote ss wanasema Lowasa si fisadi hadi Sumaye na yy anasema hivo, ila kwa kweli wanawaona watz ni mbumbumbu sana na kwa kuwa watu wengi hawatunzi kumbukumbu za viongozi wetu waloamia chadema na waliomo chadema, Hasa Sumaye na Mbowe
 
Chadema wote wapiga dili, kama wamechangamkia pesa ya Lowasa wote ss wanasema Lowasa si fisadi hadi Sumaye na yy anasema hivo, ila kwa kweli wanawaona watz ni mbumbumbu sana na kwa kuwa watu wengi hawatunzi kumbukumbu za viongozi wetu waloamia chadema na waliomo chadema, Hasa Sumaye na Mbowe

Watu wanajiendekeza tu kwani unafikiri wamesahau matusi waliyomwagia Lowassa akiwa CCM? Hivi ndani ya miezi 2 utawezaje kupiga U turn katika msimamo wako kwa dhati? Kwa Mbowe, Msigwa na Lissu ni suala la pesa hili liko wazi. Lakini kwa upande wa washabiki ni kwamba wameamua kujivua ufahamu na kuingizwa kichakani na Mbowe.
 
Watu wanajiendekeza tu kwani unafikiri wamesahau matusi waliyomwagia Lowassa akiwa CCM? Hivi ndani ya miezi 2 utawezaje kupiga U turn katika msimamo wako kwa dhati? Kwa Mbowe, Msigwa na Lissu ni suala la pesa hili liko wazi. Lakini kwa upande wa washabiki ni kwamba wameamua kujivua ufahamu na kuingizwa kichakani na Mbowe.

Ni chini ya miezi tisa
 
Chadema wote wapiga dili, kama wamechangamkia pesa ya Lowasa wote ss wanasema Lowasa si fisadi hadi Sumaye na yy anasema hivo, ila kwa kweli wanawaona watz ni mbumbumbu sana na kwa kuwa watu wengi hawatunzi kumbukumbu za viongozi wetu waloamia chadema na waliomo chadema, Hasa Sumaye na Mbowe

jizi.jpg
Eti wanasema ilikuwa bahati mbaya na wanajuta, hela mbaya aisee
 
mbowe kauza chama sasa kaamnza kuhamisha pesa zake ili akishindwa tu kwenye uchaguzi atimuke na familia yake acheni kuifatamkumbo vijana wenzangu nbowe hana nia nzuri na nchi yetu hii iliyojaa amani
 
mbowe kauza chama sasa kaamnza kuhamisha pesa zake ili akishindwa tu kwenye uchaguzi atimuke na familia yake acheni kuifatamkumbo vijana wenzangu nbowe hana nia nzuri na nchi yetu hii iliyojaa amani

Mbowe ni msaka pesa tu, sijawahi kumwamini kwa misimamo yake, isitoshe anajua sana siasa za Sanaa.

Anachokiongea na anachomaanisha tofauti.
 
Mbowe ni msaka pesa tu, sijawahi kumwamini kwa misimamo yake, isitoshe anajua sana siasa za Sanaa.

Anachokiongea na anachomaanisha tofauti.

kumwamini mbowe ni sawa na kumwachia paka maziwa ayalinde ilihali ana njaa, haitakuja kutokea nikamwamini hata siku moja
 
Habari hii ina ukweli gani?au kina magamba wanajaribu janja hii kudhohofisha kasi ya watu makini kwenye mapambano.Lakini pia mbona issue ya urais 2015 inaumiza vichwa vya kina magamba wakati tangu wamchague rais hawana hata miaka miwili? wamegundua nini kwa bosi wao?:violin:

Kaka lisemalwo lipo na kama halipo laja tambua haya makala yalitolewa toka mwaka 2013 na mwaka huu yamnetokea kweli mbowe ameuza chama kwa edo sasa mtu kama huyu ni wakuogopwa sana anaweza hata kutuuza endapo tu akaingia madarakani
 
Ramli ni ya kweli kabisa toka 2011 hadi 2015
Yametokea
Aende zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom