Mbowe afuturu na Wanachama wapya wa CHADEMA waliotoka ACT-Wazalendo huko Tandale kwa Tumbo, Msikiti wa Mbuyuni

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,879
Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe Jana alipata I-ftari na Wanachama wa ACT wazalendo na CUF ambao wamehamia Chadema huko Tandale kwa Tumbo Msikiti wa Mbuyuni

Mbowe amesema amepata faraja kubwa Yeye na Viongozi wenzake kushiriki katika I-ftari iliyoandaliwa na Wanachama Wapya

Mbowe ametoa shukrani Hizo na picha katika ukurasa wake twitani!

FtdMnEJaMAALNOE.jpg
FtdMpIYaAAADvz6.jpg
FtdMqzQaEAA4Oqp.jpg
 
Back
Top Bottom