johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,879
Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe Jana alipata I-ftari na Wanachama wa ACT wazalendo na CUF ambao wamehamia Chadema huko Tandale kwa Tumbo Msikiti wa Mbuyuni
Mbowe amesema amepata faraja kubwa Yeye na Viongozi wenzake kushiriki katika I-ftari iliyoandaliwa na Wanachama Wapya
Mbowe ametoa shukrani Hizo na picha katika ukurasa wake twitani!
Mbowe amesema amepata faraja kubwa Yeye na Viongozi wenzake kushiriki katika I-ftari iliyoandaliwa na Wanachama Wapya
Mbowe ametoa shukrani Hizo na picha katika ukurasa wake twitani!