Mbossa: Bandari kavu ya Kwala ni mara tano zaidi ya ukubwa wa Bandari ya Dar es Salaam

Mbossa: Bandari kavu ya Kwala ni mara tano zaidi ya ukubwa wa Bandari ya Dar es Salaam

Huyu anaongea sijui kama kafika hapo 😄 wafanyakaz wa tra,tpa tu hawakai hapo wanaenda nankurudi kama wakikaa hapo kuna sehemu panaitwa kijijini
Alafu hapo kwala pana majoka balaa
Wamalizie mradi kwanza maana nyumba za watu wa tpa,tra,sjui fire bado kuisha


Ova
 
“Bandari kavu ya Kwala ni mara tano zaidi ya ukubwa wa Bandari ya Dar es Salaam…tumetengeneza na yadi ya zege, tumeunganisha na Reli ya TRC ya MGR” - Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Bw. Plasduce Mbossa


..eneo ni la hekta 500.

..lakini ni hekta 5 tu ndio zimejengwa yadi ya zege kwa ajili ya makonteina.

..msikilize vizuri mhusika toka tpa anayehojiwa.
 
Ma agent ndy wameomba kuwepo na kituo pale oli wakienda wawe wanarudi
Na plan ya bandari ile ilikuwa kwa mizigo ya transit tu

Ova
 
Hii ikitekelezwa kwelii..

SGR ndio ikawa inapeleka ma container yote kwala , itakuwa unyama sana.

Maana malori mengi sana Mandela Road na Kimara
Sahv kwa siku wanapeleka kontena mara 2 kuonekane kuna jaaa mama si anakaribia kwenda huko hv karibuni....

Ova
 
Hekta tano ni ekari 12.5

..eneo ni kubwa, lakini ni sehemu ndogo sana ndio imeendelezwa, na inatumika.

..mtoa taarifa haijaweka taarifa yake kulingana na uhalisia ulioko ktk bandari kavu ya Kwala.

..Na sijui kwanini wahusika wanampeleka Raisi huko wakati kazi waliyofanya haina sio kubwa.
 
Back
Top Bottom