Mboni samuel etoo masimba!!!!!!

Hawa madogo wa bongo fleva nao wana moyo kweli. Wanakula hata visivyoliwa,lol!
 
Jamani, mwacheni binti huyu ni mjasriamali msimbatize kwamba yeye ni jamvi la wageni. Mwanamke akiwezeshwa anaweza!!!
Aaaf Mama Mdogo comment zake nazo mmmh. Ndo maana huwa nikiona tu kaandika kitu huwa sipiti wima yaani hadi nisome
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom