Mbona watu hawatafuti madini baharini

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,572
44,798
Pembezoni mwa mito naona watu wanachimba Vito wanachimba mchanga na kuusafisha hii inamaanisha kwamba madini mengi yanapita kupitia mito na mito inaelekea baharini si maanake baharini Kuna vipande vingi vya madini Sasa mbona hawachimbi mchanga uliolala kwenye sakafu za baharini je technology ya kutoa mchanga haipo mpaka Sasa hivi?
 
Back
Top Bottom