tutsi gal
Member
- May 24, 2014
- 33
- 10
Wadau naomba ushauri wenu. Mimi ni binti wa miaka 24, kila nikipendwa napendeka haswaaa lakini inafika kipindi namchoka kupita kiasi huyo anipendae.
Inafikiaga hadi hatua ya kutaka kuletewa barua lakini huwa mimi mwenyewe na kataa. Naikifika kipindi huyo mchumba ninae mkataza kuleta barua akighaili mimi ndio nakuwa tayari.
Sasa naomba mnisaidie jamani, hili ni pepo au nini?
Na kama nipepo mbona mimi ni muumini mzuri sana wa dini yangu?
Inafikiaga hadi hatua ya kutaka kuletewa barua lakini huwa mimi mwenyewe na kataa. Naikifika kipindi huyo mchumba ninae mkataza kuleta barua akighaili mimi ndio nakuwa tayari.
Sasa naomba mnisaidie jamani, hili ni pepo au nini?
Na kama nipepo mbona mimi ni muumini mzuri sana wa dini yangu?