Mbona kimya kirefu uchaguzi wa mameya Dar kulikoni?

covering risks

Senior Member
Mar 13, 2015
125
124
Kwa kawaida Uchaguzi wa madiwani ubunge na rais unapokamilika na washindi halali kutangazwa kinachofuata kwa upande wa madiwani ni kuchagua wenyeviti wao ambapo kwa mijini huitwa mayor na wilayani huitwa mwenyekiti,Leo naomba kujua kwa hapa dar es salaam huu mkwamo unatokana na nini au kunachama ambacho ambacho kinajua kikishiriki kitaangukia pua au kuna watu wanamiradi yao na wanahofu kuwa endapo Uchaguzi utafanyika na chama chao kushindwa madhambi waliowatendea wanadar yatajulikana?

Ki uhalisia Ukawa wanamadiwani wengi zaidi kuliko ccm na pia CHADEMA bila hata Ukawa inauwezo WA kuikamata manispaa ya KINONDONI,sasa tatizo ni nini? Au ccm wanamiradi yao ya kifisadi kwa hiyo wanahofu?

Uchaguzi uharakishwe tunataka kuona Ukawa inaibadilisha dar na kuwa na muonekano WA jiji,jiji la arusha kwa sasa ni safi kuliko maelezo
 
Bado ccm inapiga mahesabu dar na zanzibar. Wanachelewesha umeya sawa na uchaguzi wa zenj. Kweli ngoma ngumu
 
hatupo tayari kuwapa dar ukawa . ni afadhari jiji lisiwe na meya miaka mitano kuliko kuwapa ukawa jiji la dar ambalo ndilo lenye mapato mengi
 
Madiwani wa Ukawa dsm wanaweza kutumia busara kama wenzao wa Tanga kuchagua meya kutoka chama tawala kudumisha umoja amani mshikamano na kuchochea kasi ya Maendeleo.
 
Madiwani wa Ukawa dsm wanaweza kutumia busara kama wenzao wa Tanga kuchagua meya kutoka chama tawala kudumisha umoja amani mshikamano na kuchochea kasi ya Maendeleo.

Yaani we Puumbaa kweli kweli!
 
Kama itafika Jan na bado mayor hajapatikana tutajua kuwa hata JPM anayofanya yote ni utapeli tuu hasa ukizingatia na Tamisemi ni wizara chini ya ofisi yake.
 
Madiwani wa Ukawa dsm wanaweza kutumia busara kama wenzao wa Tanga kuchagua meya kutoka chama tawala kudumisha umoja amani mshikamano na kuchochea kasi ya Maendeleo.


Mbona CCm wameongoza jiji miaka yote lakini hakuna walichobadilisha.

Acha tufanye mabadiliko ya uongozi.

Rais, Makamu Rais na mawaziri wote watakuwa chini ya UKAWA.

TehtehtehteheTehtehtehteheTehtehtehteheTehtehtehteheTehtehtehteheTehtehtehteheTehtehtehteheTehtehtehteheTehtehtehteheTehtehtehtehe!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom