Mbona kama Polisi inamsemea Dogo Janja?

Mbona kama Polisi inamsemea Dogo Janja?

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Hawa polisi mbona kama wanamtetea Dogo janja kwanini wamsemee yeye tu na si kumskiliza na aliyejeruhiwa? Wanasema alivamiwa, alivamiwa kivipi mtu yupo kwenye gari lake? mbona wanajaribu kufukia vitu. Wanadhani hatujui chanzo cha DOgo janja kumpiga risasi huyo dogo?

Alafu siku hizi kumbe watanzania tunaruhusiwa kumiliki silaha za moto?

Soma pia:Kama serikali inafuata sheria na katiba kwanini Polisi na usalama wanateka watu

Screenshot 2025-08-25 013035.png


Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linafanya uchunguzi wa kina kufuatia tukio la kujeruhiwa kwa risasi kijana mmoja katika eneo la Sombetini jijini Arusha usiku wa kuamkia Agosti 24, 2025.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amesema kuwa kijana aliyejeruhiwa ametambuliwa kwa jina la Bakari Daud (18), mkazi wa Sombetini, ambaye alipigwa risasi mguuni saa 5:30 usiku.

Taarifa za awali zinaeleza kuwa Bakari, akiwa na mwenzake, alidaiwa kutaka kumvamia Abdulaziz Abubakari (30), maarufu Dogo Janja mkazi wa Levolosi, wakati akishuka kwenye gari.

“Katika hali ya kujihami, Abdulaziz alitumia silaha aliyokuwa nayo na kumjeruhi Bakari,” imeeleza sehemu ya taarifa ya Jeshi la Polisi.

Aidha, watu wawili wanashikiliwa na Polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi kuhusiana na tukio hilo, huku hatua za kisheria zikiendelea kuchukuliwa.

Kamanda wa Polisi amewataka wananchi kuepuka kujihusisha na matukio ya kihalifu na badala yake kutoa taarifa mapema kwa vyombo vya usalama ili kuepusha madhara.
 
Hawa polisi mbona kama wanamtetea Dogo janja kwanini wamsemee yeye tu na si kumskiliza na aliyejeruhiwa? Wanasema alivamiwa, alivamiwa kivipi mtu yupo kwenye gari lake? mbona wanajaribu kufukia vitu. Wanadhani hatujui chanzo cha DOgo janja kumpiga risasi huyo dogo?

Alafu siku hizi kumbe watanzania tunaruhusiwa kumiliki silaha za moto?

Soma pia:Kama serikali inafuata sheria na katiba kwanini Polisi na usalama wanateka watu

View attachment 3452296

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linafanya uchunguzi wa kina kufuatia tukio la kujeruhiwa kwa risasi kijana mmoja katika eneo la Sombetini jijini Arusha usiku wa kuamkia Agosti 24, 2025.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amesema kuwa kijana aliyejeruhiwa ametambuliwa kwa jina la Bakari Daud (18), mkazi wa Sombetini, ambaye alipigwa risasi mguuni saa 5:30 usiku.

Taarifa za awali zinaeleza kuwa Bakari, akiwa na mwenzake, alidaiwa kutaka kumvamia Abdulaziz Abubakari (30), maarufu Dogo Janja mkazi wa Levolosi, wakati akishuka kwenye gari.

“Katika hali ya kujihami, Abdulaziz alitumia silaha aliyokuwa nayo na kumjeruhi Bakari,” imeeleza sehemu ya taarifa ya Jeshi la Polisi.

Aidha, watu wawili wanashikiliwa na Polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi kuhusiana na tukio hilo, huku hatua za kisheria zikiendelea kuchukuliwa.

Kamanda wa Polisi amewataka wananchi kuepuka kujihusisha na matukio ya kihalifu na badala yake kutoa taarifa mapema kwa vyombo vya usalama ili kuepusha madhara.
Dogo ana hela ameshatembeza mlungula hapo lazima majambazi wavaa uniform wamtetee kwa nguvu zote.
 
Kwavile anaonekana ni CCM basi mitandao inaamua kumkandamiza hata kama alivamiwa kweli.

Sidhani kama dogo janja ni mpuuzi kiwango iko hadi amchape mtu risasi.

Labda kama kuna shida nyingine nyuma ya pazia.Kama umewahi kukaa Arusha basi unaweza kuelewa kauli ya Polisi au dogo janja.

Tujipe muda tuujue ukweli halisi inaweza kuwa kijana kapigwa risasi kionevu au alistahili kweli.
 
Kwavile anaonekana ni CCM basi mitandao inaamua kumkandamiza hata kama alivamiwa kweli.

Sidhani kama dogo janja ni mpuuzi kiwango iko hadi amchape mtu risasi.

Labda kama kuna shida nyingine nyuma ya pazia.Kama umewahi kukaa Arusha basi unaweza kuelewa kauli ya Polisi au dogo janja.

Tujipe muda tuujue ukweli halisi inaweza kuwa kijana kapigwa risasi kionevu au alistahili kweli.
Watu wana wivu mkuu.
 
Watu wana wivu mkuu.
Kwavile tumechagua kuwachukia Polisi na CCM basi chochote kinachotokea tunaamua kuwahukumu tu.

Tunasahau pia mabaya ya polisi ni machache kuliko mazuri yao ndio maana waTanzania wengi tunalala kwa amani majumbani kwetu.

ingewezekana polisi wote wangeenda lisaa limoja tu wananchi tuishi tupendavyo ili tuone hali itakayokuwa.
 
Yani uvute gun bila sababu serious dogo kajihami watot wa sikuhiz wanakm mwingi dk mbili unakula visu vya tumbo alafu wanasepa , hata kama ni mimi mkwaju nauchomoa tena kamuhurumia kampiga ya mguu hamna kesi kabisa hapo. Ukiishi mitaa ya wahuni utakuwa itikeli zao
 
Hawa polisi mbona kama wanamtetea Dogo janja kwanini wamsemee yeye tu na si kumskiliza na aliyejeruhiwa? Wanasema alivamiwa, alivamiwa kivipi mtu yupo kwenye gari lake? mbona wanajaribu kufukia vitu. Wanadhani hatujui chanzo cha DOgo janja kumpiga risasi huyo dogo?

Alafu siku hizi kumbe watanzania tunaruhusiwa kumiliki silaha za moto?

Soma pia:Kama serikali inafuata sheria na katiba kwanini Polisi na usalama wanateka watu

View attachment 3452296

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linafanya uchunguzi wa kina kufuatia tukio la kujeruhiwa kwa risasi kijana mmoja katika eneo la Sombetini jijini Arusha usiku wa kuamkia Agosti 24, 2025.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amesema kuwa kijana aliyejeruhiwa ametambuliwa kwa jina la Bakari Daud (18), mkazi wa Sombetini, ambaye alipigwa risasi mguuni saa 5:30 usiku.

Taarifa za awali zinaeleza kuwa Bakari, akiwa na mwenzake, alidaiwa kutaka kumvamia Abdulaziz Abubakari (30), maarufu Dogo Janja mkazi wa Levolosi, wakati akishuka kwenye gari.

“Katika hali ya kujihami, Abdulaziz alitumia silaha aliyokuwa nayo na kumjeruhi Bakari,” imeeleza sehemu ya taarifa ya Jeshi la Polisi.

Aidha, watu wawili wanashikiliwa na Polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi kuhusiana na tukio hilo, huku hatua za kisheria zikiendelea kuchukuliwa.

Kamanda wa Polisi amewataka wananchi kuepuka kujihusisha na matukio ya kihalifu na badala yake kutoa taarifa mapema kwa vyombo vya usalama ili kuepusha madhara.
Ukiwa CCM tayari upo juu ya sheria ndipo CCM ilipo ifikisha nchi maana mwana CCM anaujasiri wa kufanya chochote atakacho kwakuwa ccm
 
Back
Top Bottom