Mbona humu ni mapenzi tu!

Msimlaumu sana huyu kijana ni mbinu tu amebadilisha. Alianza kutafuta mpenzi amekosa sasa kaja na gear ya rafiki nadhani akishindwa na mbinu hii mpya atakuja na mbinu ya nafasi za kazi kwa wadada.
 
Msimlaumu sana huyu kijana ni mbinu tu amebadilisha. Alianza kutafuta mpenzi amekosa sasa kaja na gear ya rafiki nadhani akishindwa na mbinu hii mpya atakuja na mbinu ya nafasi za kazi kwa wadada.

Haha haaaaa...wacha tusubir kifuatacho
 
Love Connect ni sub forum iliyopo ndani ya MMU na huko ndio watu wenye uhitaji wa urafiki huweka mabandiko yao...

Sasa sijui weye mleta mada unalalama kwa kutojua muundo wa MMU au kwa sababu debe tupu huwa halikosi mlio...!!!
 
Kwa mujibu wa jina lake forum hii ni ya Mapenzi,Mahusiano na Urafiki !
Lakini mimi huwa nashangazwa sehemu kubwa yanayoongelewa humu ni mapenzi !sijaona watu wakiongelea urafiki
Kwa kunzia mimi natafuta rafiki awe na umri wa kunzia miaka 30 ! na awe mwanamke!
Bahati mbaya sina electronic copy ya picha yangu ningeipost ila sfa zangu ni kama Mandela!

Bila mapenzi ungezaliwa?
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha aaaaah jmani jeiefu haiishi vituko. Unajua umenifanya nirudie tena kuusoma uzi kwa makini hahahahahahahahaha jamani umenichekesha sana.

hujamwamsha bwana nanii!! angalia wewe!
 
duuuu edit post yako aisee....sidhani kama kuna mtu anataka rafiki ambaye ni marehemu
 
Kwa mujibu wa jina lake forum hii ni ya Mapenzi,Mahusiano na Urafiki ! Lakini mimi huwa nashangazwa sehemu kubwa yanayoongelewa humu ni mapenzi !sijaona watu wakiongelea urafiki Kwa kunzia mimi natafuta rafiki awe na umri wa kunzia miaka 30 ! na awe mwanamke! Bahati mbaya sina electronic copy ya picha yangu ningeipost ila sfa zangu ni kama Mandela!
Mbona wewe umeweka kichwa cha habari chenye neno "mapenzi" . Ungekuwa na wazo mbadala ungeliandika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom