Msimlaumu sana huyu kijana ni mbinu tu amebadilisha. Alianza kutafuta mpenzi amekosa sasa kaja na gear ya rafiki nadhani akishindwa na mbinu hii mpya atakuja na mbinu ya nafasi za kazi kwa wadada.
Division five hii jmn ,msimlaumu sana
Kwa mujibu wa jina lake forum hii ni ya Mapenzi,Mahusiano na Urafiki !
Lakini mimi huwa nashangazwa sehemu kubwa yanayoongelewa humu ni mapenzi !sijaona watu wakiongelea urafiki
Kwa kunzia mimi natafuta rafiki awe na umri wa kunzia miaka 30 ! na awe mwanamke!
Bahati mbaya sina electronic copy ya picha yangu ningeipost ila sfa zangu ni kama Mandela!
Bila mapenzi ungezaliwa?
Misa? mambo? upo? habari za huko? una usingizi? weekend utakuwa wapi?...!
ndio,mamb poa tu,sijui wewe?sina usingizi,weekend nitakuwa mitaa ya katiMisa? mambo? upo? habari za huko? una usingizi? weekend utakuwa wapi?...!
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha aaaaah jmani jeiefu haiishi vituko. Unajua umenifanya nirudie tena kuusoma uzi kwa makini hahahahahahahahaha jamani umenichekesha sana.Una maana wewe ni marehemu
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha aaaaah jmani jeiefu haiishi vituko. Unajua umenifanya nirudie tena kuusoma uzi kwa makini hahahahahahahahaha jamani umenichekesha sana.
kaka hebu acha kukurupuka tafuta uzi wenye maana!!!!
Mbona wewe umeweka kichwa cha habari chenye neno "mapenzi" . Ungekuwa na wazo mbadala ungeliandika.Kwa mujibu wa jina lake forum hii ni ya Mapenzi,Mahusiano na Urafiki ! Lakini mimi huwa nashangazwa sehemu kubwa yanayoongelewa humu ni mapenzi !sijaona watu wakiongelea urafiki Kwa kunzia mimi natafuta rafiki awe na umri wa kunzia miaka 30 ! na awe mwanamke! Bahati mbaya sina electronic copy ya picha yangu ningeipost ila sfa zangu ni kama Mandela!
Na ww kimekuleta nini hapa kama sio mapenzi.mapenzi yana run dunia.
eti wanasema mapenzi ndio yana run dunia