Mbona humu ni mapenzi tu!

Mbona humu ni mapenzi tu!

yaani unaweza kufungwa kwaajili ya watu ama sura yako imefanana na mandela...
sijakuelewa ujue.
 
Kwa mujibu wa jina lake forum hii ni ya Mapenzi,Mahusiano na Urafiki !
Lakini mimi huwa nashangazwa sehemu kubwa yanayoongelewa humu ni mapenzi !sijaona watu wakiongelea urafiki
Kwa kunzia mimi natafuta rafiki awe na umri wa kunzia miaka 30 ! na awe mwanamke!
Bahati mbaya sina electronic copy ya picha yangu ningeipost ila sfa zangu ni kama Mandela!

Mandela yupi???kama sura yako sio laini acha tu kujitundika tu maana unaweza pata presha humu
 
Kwa mujibu wa jina lake forum hii ni ya Mapenzi,Mahusiano na Urafiki !
Lakini mimi huwa nashangazwa sehemu kubwa yanayoongelewa humu ni mapenzi !sijaona watu wakiongelea urafiki
Kwa kunzia mimi natafuta rafiki awe na umri wa kunzia miaka 30 ! na awe mwanamke!
Bahati mbaya sina electronic copy ya picha yangu ningeipost ila sfa zangu ni kama Mandela!
Mwee! Umri wako miaka 90 unataka mtoto wa miaka 30 hii si sawa.
**au sijaelewa?
 
Back
Top Bottom