Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,159
Hahaha wewe wasemaaaa.... tutawapa live updates humu humu.... stay turned.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Hahaha wewe wasemaaaa.... tutawapa live updates humu humu.... stay turned.
Itakick vipi wakati le mtumbo ndio promoter.Kuna show kubwa sana tar 22 mwezi huu pale leaders club, pamoja na kuwa inahusika na wasanii heavy weight kama future kutoka USA, Casper nyoves kutoka SA na diamond kutoka bongo lakini naona kama haijakiki sana yaani kama show zingne kubwa ambazo huwa talk of the town, tatzo nn haswa watu hawana hela au promotion imekuwa chini ya kiwango au tatzo ni kwa wasanii husika ambao watalipamba jukwaa hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sis tunaongelea show ww unazungumzia mauzo two things differentHii ndio fiesta. Wameibadilisha jina tuu
Castle lite imeshuka kimauzo sana watu mwendo wa kirikuu tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kuleta ushahidi we tutakuita mnafiki.Halafu waandaaji wajanja wamechagua wasanii wa bongo wa kimataifa zaidi , kubali kataa Vanessa kwasasa ana kiki nje ya nchi zaidi ya Alikiba
Hana impact tena siku iz kuwepo au kutokuwepo kwake hakuna madhara na show ishabuma kabla ya mda wenyewe.diaomond kaenda kwenye msiba uganda so definitely hataimba
Kuwa muwazi tu kaka, show imebumaaaaaaaaaaShow ilikuwa poa sana, weusi waliliamsha dude, Simba kama kawaida, vinywaji vyakutosha na people nyomi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kumbe ni jana hahahahhahaha kusema ukweli sijaisikia hata kidogo..... indeed watu wamechoka. lolShow ilikuwa poa sana, weusi waliliamsha dude, Simba kama kawaida, vinywaji vyakutosha na people nyomi
Sent using Jamii Forums mobile app
Haahaa...kirikuu ni ipi mkuu!??Hii ndio fiesta. Wameibadilisha jina tuu
Castle lite imeshuka kimauzo sana watu mwendo wa kirikuu tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haahaa...kirikuu ni ipi mkuu!??