Mbona hii show ya Castle Lite unlock 'haijakiki'?

Diamond kafiwa na mama mkwe wake ,mama yake Zari na maziko Siku ya show hii, patamu hapoo ila najua Diamond hawezi kuwaangusha clouds kwake bora akose mazishi
 
Kuna show kubwa sana tar 22 mwezi huu pale leaders club, pamoja na kuwa inahusika na wasanii heavy weight kama future kutoka USA, Casper nyoves kutoka SA na diamond kutoka bongo lakini naona kama haijakiki sana yaani kama show zingne kubwa ambazo huwa talk of the town, tatzo nn haswa watu hawana hela au promotion imekuwa chini ya kiwango au tatzo ni kwa wasanii husika ambao watalipamba jukwaa hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Itakick vipi wakati le mtumbo ndio promoter.
 
Back
Top Bottom