Jamani toka tuanze maombolezo na shughuli nzima za kuaga Mwili wa Mh.JPM sijawaona kabisa viongozi wafuatao
1. Mh. Lowassa-Waziri Mkuu Mstaafu
2.Mbowe Freeman - Aliyekuwa Kiongozi rasmi wa kambi ya upinzani Bungeni ktk Serikali ya Hayati ya kipindi cha miaka 4 ya kwanza.
3. Peter Msigwa - Aliyekuwa Mbunge katika kipindi cha awamu ya miaka 5 ya utawala wa Hayati JPM, lakini kipekee huyu pia ndugu wa karibu wa Hayati JPM
Kwangu hao niliwatarajia kuwaoana na kuwasikia kwa chochote ktk kipindi hiki kipya kwa Taifa letu. Labda tuwalaumu media kwamba hawajapa space
Ongeza na wewe wengine ambao ulitegemea uwe umeshawaona au kuwasikia.
1. Mh. Lowassa-Waziri Mkuu Mstaafu
2.Mbowe Freeman - Aliyekuwa Kiongozi rasmi wa kambi ya upinzani Bungeni ktk Serikali ya Hayati ya kipindi cha miaka 4 ya kwanza.
3. Peter Msigwa - Aliyekuwa Mbunge katika kipindi cha awamu ya miaka 5 ya utawala wa Hayati JPM, lakini kipekee huyu pia ndugu wa karibu wa Hayati JPM
Kwangu hao niliwatarajia kuwaoana na kuwasikia kwa chochote ktk kipindi hiki kipya kwa Taifa letu. Labda tuwalaumu media kwamba hawajapa space
Ongeza na wewe wengine ambao ulitegemea uwe umeshawaona au kuwasikia.