Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,768
- 5,087
Ndio,waziri mkuu.Naye ni waziri?
Ndio,waziri mkuu.Naye ni waziri?
Correction:Kila mtu ana sababu zake za kufika au kutofika Msiban
Hata Mandela pamoja na kusaidiwa kote na Nyerere hakuhudhuria Msiba wa Nyerere na hata Milton Obote Rais wa Uganda alietolewa na Iddy Amin tukaingiza Nchi vitani kumrejesha yeye hakuhudhuria wala kutuma salam za pole
Hata Marehem Mwamba JPM hakuhudhuria misiba mingi ya Wazito wenzie wala kutuma salam kuanzia msiba wa Kingunge, kina Iddy Simba n.k
So Mtu muhimu kwako sio lazima awe muhimu kwa mwingine
Kuna watu wanahoji mbona Baniani hawajaja msiban lakin tunasahau walipofiwa na 'Magufuli wao' Subash Patel, Magufuli wetu hakwenda Msiban wala kutoa pole
aiseeeNilizonazo ni kuwa huyu jamaa yupo Ndichi ananyea debe
Acha uchocheziHata Anjela Kataharuki?
Yuko kitanziniDotto James-Katibu mkuu Hazina
Mbona sijakuelewa mkuu mimi nimeuliza uyu dotto james ni katibu mkuu wizara ya fedha sasa yeye sio waziri je anaingiaje katika kikao cha baraza la mawaziri mimi nimeuliza nashangaa unanambia niache uwongo je kuuliza ni uongo pia?Siyo mjumbe wa baraza la mawaziri, acha uongo.
KM Hazina Kawa lini Waziri!au alIalikwa!Wakati juzi alikua kwny kikao cha mawaziri kilichoitishwa na mama Samia.