MBONA GALAXY A SERIES ZOTE FB NI 250K?

MBONA GALAXY A SERIES ZOTE FB NI 250K?

Wakuu msaada izi simu za galaxy a series za fb ni OG kweli?
Mbona bei zinafanana?
Na ipi bora kwenye A series?
copy ni nyingi sana, unapewa risiti na warranty kabisa. Kuna hadi infinix na tecno copy, unabisha njoo kkoo nikuonyeshe
 
Kuna brand inaitwa M Horse. Mara nyingi ni hiyo inatangazwa kwa majina ya brands zingine
Mchina huyo, nilishawahi kununua kipindi cha nyuma nikampa ndugu yangu, alipovunja kioo tu na safari ikaishia hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom