Mbona foleni zimezidi?

Mbona foleni zimezidi?

Karibu mwezi sasa hali ya barabara haifai. Hapa nasikia Bagamoyo Road hakufai, Morogoro Road hakufai, Kilwa Road hakufai. Tatizo nini na tumeambiwa watu wamehamia Dodoma? Kuna watu hawafanyi kazi zao ipasavyo.
Ni balaa kubwa barabara za Dar leo, wanafunzi wanaofanya mitihani ya taifa sijui inakuwaje!!!
 
Tokea nimehama huo mji nimegundua kuwa kumbe hata mimi nilikuwa na kitambi lakini kutokana na hekaheka za kugombea madaladala kilikuwa kimejificha,sasa hivi kametuna hadi raha...
 
Back
Top Bottom