Mbona drones bado zinatumika!!??

Mbona drones bado zinatumika!!??

Umeulizia kama wana kibali?
Sijasikia Tangazo la kukataza drones labda nimepitwa
 
Nasema drones hazituwek salama na labda zinawapa wLinzi wetu changamoto MPYA na kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu swali, wewe ni msajili wa drones Tanzania??? Mpaka ujue hajasajiliwa??


Acha umbeya utaolewa mitara wewe binti!

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Leo nilikuwa nimehudhuria harusi flan hapa kabisa LA Rc Book naona bado wapiga Picha wanatumia drones hata baada ya kuzuiliwa na serikali. Mimi ni kati ya watanzania wanaopinga sana hivi vidude kwa sababu za kiusalama. Ni kwamba Serikali imeshindwa kuzuia au watumiaji waneizidi janja serikali!? Nashauri wanaokamatwa na hivi vidude waadhibiwe vikali na mahakama za kijeshi maana wanahatarisha usalama Wa nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Drones hazijapigwa marufuku ila zinaitaji kibali kutoka mamlaka husika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nilikuwa nimehudhuria harusi flan hapa kabisa LA Rc Book naona bado wapiga Picha wanatumia drones hata baada ya kuzuiliwa na serikali. Mimi ni kati ya watanzania wanaopinga sana hivi vidude kwa sababu za kiusalama. Ni kwamba Serikali imeshindwa kuzuia au watumiaji waneizidi janja serikali!? Nashauri wanaokamatwa na hivi vidude waadhibiwe vikali na mahakama za kijeshi maana wanahatarisha usalama Wa nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Una uhakika gani kwamba pengine hao wanavitumia nao ni wana Usalama? Kwani Mkuu siku hizi Wanausalama hutakiwa kujitangaza au kujianika ili akina Sisi tuwajue / tuwang'amue?
 
Leo nilikuwa nimehudhuria harusi flan hapa kabisa LA Rc Book naona bado wapiga Picha wanatumia drones hata baada ya kuzuiliwa na serikali. Mimi ni kati ya watanzania wanaopinga sana hivi vidude kwa sababu za kiusalama. Ni kwamba Serikali imeshindwa kuzuia au watumiaji waneizidi janja serikali!? Nashauri wanaokamatwa na hivi vidude waadhibiwe vikali na mahakama za kijeshi maana wanahatarisha usalama Wa nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hazijazuiliwa,ila wameambiwa wakasajili jeshini ndio wapate kibali cha mamlaka ya anga,inawezekana hizo ulizoziona zimetimiza vigezo na masharti
 
Back
Top Bottom