you sure??Hakuna drone iliyosajiliwa Tanzania tangu siku ya tangazo LA kukataza
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu swali, wewe ni msajili wa drones Tanzania??? Mpaka ujue hajasajiliwa??Nasema drones hazituwek salama na labda zinawapa wLinzi wetu changamoto MPYA na kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Drones hazijapigwa marufuku ila zinaitaji kibali kutoka mamlaka husikaLeo nilikuwa nimehudhuria harusi flan hapa kabisa LA Rc Book naona bado wapiga Picha wanatumia drones hata baada ya kuzuiliwa na serikali. Mimi ni kati ya watanzania wanaopinga sana hivi vidude kwa sababu za kiusalama. Ni kwamba Serikali imeshindwa kuzuia au watumiaji waneizidi janja serikali!? Nashauri wanaokamatwa na hivi vidude waadhibiwe vikali na mahakama za kijeshi maana wanahatarisha usalama Wa nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahid unioeJibu swali, wewe ni msajili wa drones Tanzania??? Mpaka ujue hajasajiliwa??
Acha umbeya utaolewa mitara wewe binti!
Pogba wa tz nchi imekushinda!
Siwezi kuoa kilaza labda nikuitie lemutuz akuwowee!
Ushahidi kutoka TCAA tafadhali
Akileta nipigwe ban.Ushahidi kutoka TCAA tafadhali
ahahaha J33 ushahidi leta basi mbona kimyaAkileta nipigwe ban.
Leo nilikuwa nimehudhuria harusi flan hapa kabisa LA Rc Book naona bado wapiga Picha wanatumia drones hata baada ya kuzuiliwa na serikali. Mimi ni kati ya watanzania wanaopinga sana hivi vidude kwa sababu za kiusalama. Ni kwamba Serikali imeshindwa kuzuia au watumiaji waneizidi janja serikali!? Nashauri wanaokamatwa na hivi vidude waadhibiwe vikali na mahakama za kijeshi maana wanahatarisha usalama Wa nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hazijazuiliwa,ila wameambiwa wakasajili jeshini ndio wapate kibali cha mamlaka ya anga,inawezekana hizo ulizoziona zimetimiza vigezo na mashartiLeo nilikuwa nimehudhuria harusi flan hapa kabisa LA Rc Book naona bado wapiga Picha wanatumia drones hata baada ya kuzuiliwa na serikali. Mimi ni kati ya watanzania wanaopinga sana hivi vidude kwa sababu za kiusalama. Ni kwamba Serikali imeshindwa kuzuia au watumiaji waneizidi janja serikali!? Nashauri wanaokamatwa na hivi vidude waadhibiwe vikali na mahakama za kijeshi maana wanahatarisha usalama Wa nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app