Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
i wish to see you physically........... not electronically like now
ntajitahidi lakini siunajua tena labda unipende kwa sanaa na zawadi zakumwana na unidekeze basi aaaaaaaa wala huti hisi hayo...
gfsonwin...........ukiniona hutaamini utafikiri nimesingiziwa yaani sinamwelekeo na haya ninayoyaandika......................hata mie nikisoma huwa ninajishangaa hivi huyu ni mie kweli.............what is going on in my head to think of this things.........................what a fertile imagination, I have................
Ta ruta kwa mashairi!!. I salute you. nishakutumia form ya kakau bandmbona hujaijaza?
Aise we jamaa una kipaji. Hii issue ipo sana kwa wengi wao,yaani unakuta mtu anakuwa na hasira hasira tu muda wote.Lakini ukishamuelewa inabidi ujitahidi kuepusha namna yoyote ile inayoweza kupelekea migongano.
Nitarudi Rutashubanyuma
I log to see you Rata kama upo hapa DSM nitakuona na hata kama ni mkoani nitajitahd manake sipati picha huwa akili yako ina umbo gani.