Mbona ACT-Wazalendo hawavamiwi na polisi katika kikao chao kinachoendelea hivi sasa?

saidi kindole

JF-Expert Member
Sep 21, 2012
310
792
Wana jamvi polisi wamepiga marufuku vikao vya nje na vya ndani vya vyama vya siasa nchini, na kama utakumbuka CHADEMA walivamiwa katika kikao chao na viongozi wao kupelekwa polisi.

Sasa leo hii ACT wako kwenye kikao ambacho ndugu Zitto anawasilisha taarifa yake mbona polisi hawawavamii? Au marufuku imeondolewa?

zito.jpg
 
ACT siyo sawa na Saccos ya wakwepa kodi wa billicanas.

ACT wanajielewa kazi yao ni kuhamasisha wananchi kufanya kazi na siyo kama Chadema wanahamasisha wananchi kushika UKUTA
Mnapoandika mabandiko yenu muwe mnatumia japo akili kidogo. Mwanzo unasema ACT hawana tofauti na CHADEMA, lakini mbele kidogo unawasifu tena ACT kuwa hawafanani na CHADEMA. Kipi ni kipi? Nenda kajifunze maana ya kukwepa Kodi.
 
wana jamvi polisi wamepiga marufuku vikao vya nje na vya ndani vya vyama vya siasa nchini. na kama utakumbuka chadema walivamiwa katika kikao chao na viongozi wao kupelekwa polisi. sasa leo hii ACT wako kwenye kikao ambacho ndugu zitto anawasilisha taarifa yake mbona polisi hawawavamii? au marufuku imeondolewa?
Ha ha ha, unataka na wao wapigwe mabomu ya machozi kama wewe?
 
wana jamvi polisi wamepiga marufuku vikao vya nje na vya ndani vya vyama vya siasa nchini. na kama utakumbuka chadema walivamiwa katika kikao chao na viongozi wao kupelekwa polisi. sasa leo hii ACT wako kwenye kikao ambacho ndugu zitto anawasilisha taarifa yake mbona polisi hawawavamii? au marufuku imeondolewa?
Kwani lipumba hayupo ?
 
Back
Top Bottom