Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,716
- 29,072
He's backmboga ya yai fasta sana
He's backmboga ya yai fasta sana
Maini Rost,kabichi,mboga za majani,Na nyama za kukkanga may be Kuku samakiHabari wakuu,
Husika hapo juu, ni mboga ipi naweza kupika kwa haraka ili niepuke kwenye migahawa
Maana nikirud home nakua nimechoka sana
Asanteni
Ndo navyofanyaga napika mboga za kukaa week mbiliTenga siku pika mboga hata tatu weka kwa friji
Then una microwave kwa siku kadhaa then upika tena
Usisahau kuchensha na maarage
Mboga rahus ni mayai tu sijui utachemsha mayai kila siku
napita pita kidogo mkuuHe's back
Yeah haswa ukiwa na fridge lenye hali nzuri na ukawa na knowledge nzuri ya uhifadhi wa chakula. Btw mboga zikiungwa kadri zinavyokaa zinazidi kuwa tamu, spices get better with time.Ndo navyofanyaga napika mboga za kukaa week mbili
Exactly ubaridi Uwe Wa kutoshaYeah haswa ukiwa na fridge lenye hali nzuri na ukawa na knowledge nzuri ya uhifadhi wa chakula. Btw mboga zikiungwa kadri zinavyokaa zinazidi kuwa tamu, spices get better with time.
Watu wanaolalamikia chakula kilichohifadhiwa ni either hawana mafridge bora au hawajui kuhifadhi vyakula vizuri vikabaki fresh.
Kwani akioa ndiyo maisha yote atakuwa home? Fikria amepata uhamisho wa ghafla hapo hapo atahama na familia? Usilete habari za mwaka 47! Zama zimebadilika hizi!Si uoe na ww 😉
Hiyo ni mboga ya mabachela wengi mkuu.Mayai 3 ya buku katia nyanya, kitunguu,karoti,na hoho ukipenda halafa kaanga hapo dakk 3 tu na ugali mkubwa, usisahau kuleta ushuhuda hapa jukwaan
Yai linakuwa la kuchemsha au kukaanga?Chukua kitunguu kanga na nyanya karoti na hoho unagongea na yai dakika kumi haziishi
Mayai unachemsha kwanza au unayagonga na kuyakorogea humo humo kwa vitunguu, karoti na hohoMayai 3 ya buku katia nyanya, kitunguu,karoti,na hoho ukipenda halafa kaanga hapo dakk 3 tu na ugali mkubwa, usisahau kuleta ushuhuda hapa jukwaan
Ukipenda unakaanga vitunguu, karot na nyanya vikiiva unatia mayai humo humo au unachanganya pamoja wakati wa kukoroga safi kabisaMayai unachemsha kwanza au unayagonga na kuyakorogea humo humo kwa vitunguu, karoti na hoho
Tulikuwa na ng'ombe kwahiyo hii ndio ilikuwa mboga kuu.ugali na maziwa mtindi, siyo lazima kupika mboga
Hii siwezi nakua kama nachovya tonge kwenye maji tumbo linabaki tupu.Mboga ya haraka mtindi tu, Huwashi hata jiko.
Mtindi usichovye bali kunywa, Tonge na nguchuHii siwezi nakua kama nachovya tonge kwenye maji tumbo linabaki tupu.
Mimi napenda sana mtindi ila uambatane na mboga nyingine
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
KwishaMchicha