JOHN MADIBA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 251
- 155
Mbinu za yanga kufunga umeme ulipokatika wakati mechi inaendelea walitoa tochi kwenye chupi nakutumia kuchezea mpira na kubahatisha kupata goli moja baada ya hapo refa akamaliza mpira. Kocha wao akachukua ambulence kuwamulikia wakabiziwe kombe. ushindi wa mizengwe. walijuaje umeme utakatika wakaingia uwanjani na tochi bila refa kusema lolote simba tumefanyiwa dhuluma. wakati wachezaji wa simba hawaoni mpira wao walikua wanatumia tochi zwalizoficha kwenye chupi mpira wa bongo unavituka lakini hii imepitiliza hadi supar sport walibidi wakate matangazo ili fifa isione huu ujinga....