Mbinu za kusave pesa yako

Mbinu za kusave pesa yako

Foffana

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2022
Posts
2,705
Reaction score
4,423
Habari za Jioni Mabro

Kuna watu naona wanalalamika kuwa 300K ni mshahara mdogo sana hauwezi kukidhi mahitaji ya mtu na familia yake

Ila kiuhalisia kabisa hiyo pesa ni nyingi sana sana kwa mtu kulipwa kwa mwezi hasa hasa kwa hapa Dar es salaam ambayo vitu vingi gharama zake ni nafuu sana

Kuna kiwanda fulani nilikuwa nafanya kazi kipindi hiko baada ya kumaliza form four sasa kuna mtu nilipangiwa nae kufanya kazi pamoja alikuwa ni mtu mzima sana na katika stori za hapa na pale alinambia yeye anaishi na mkewe na wana mtoto mmoja anasoma shule ya msingi

Na sehemu tuliyokuwa tunafanya kazi tulikuwa tunalipwa 5000 kwa siku na mshkaji anasema hiyo hiyo anasurvive vizurii tu na familia yake, analipa kodi ya chumba,mtoto anaenda shule na wanakula vizuri tu halaf mi kipindi hiko chalii nilirudi mtaani tu mshiko umeisha tayari kesho naamsha tena

Nikajua shida sio posho/mshahara kuwa mdogo tatizo ni matumizi yako binafsi watu wengi duniani hatuna utamaduni wa kusave pesa na watu wengi pia tunafanya matumizi yasiyo ya lazima kwa kiwango kikubwa sana

Matumizi yasiyo ya lazima hayaepukiki ila yanaweza kupunguzika kabisa

Tujijengee tabia ya kusave for the future na zifuatazo ni namna ambavyo mtu unaweza kusave pesa yako

1.Usifanye maamuzi ya kihisia kuhusu masuala ya pesa
2.Usifanye manunuzi ukiwa na njaa
3.Epuka vyakula visivyo na afya
4.Soma vitabu kuhusu usimamizi wa fedha
5.Usinunue nguo zisizo za lazima
6.Omba punguzo kila unapoenda kununua bidhaa fulani
7.Anza kuandika matumizi yote
8.Usibet,usivute sigara,usinywe pombe


Mbinu nyingine wajuvi mtaongezea

It's me Foffana

"Tunapoishi Giza kali hata mungu haji"
 
Habari za Jioni Mabro

Kuna watu naona wanalalamika kuwa 300K ni mshahara mdogo sana hauwezi kukidhi mahitaji ya mtu na familia yake

Ila kiuhalisia kabisa hiyo pesa ni nyingi sana sana kwa mtu kulipwa kwa mwezi hasa hasa kwa hapa Dar es salaam ambayo vitu vingi gharama zake ni nafuu sana

Kuna kiwanda fulani nilikuwa nafanya kazi kipindi hiko baada ya kumaliza form four sasa kuna mtu nilipangiwa nae kufanya kazi pamoja alikuwa ni mtu mzima sana na katika stori za hapa na pale alinambia yeye anaishi na mkewe na wana mtoto mmoja anasoma shule ya msingi

Na sehemu tuliyokuwa tunafanya kazi tulikuwa tunalipwa 5000 kwa siku na mshkaji anasema hiyo hiyo anasurvive vizurii tu na familia yake, analipa kodi ya chumba,mtoto anaenda shule na wanakula vizuri tu halaf mi kipindi hiko chalii nilirudi mtaani tu mshiko umeisha tayari kesho naamsha tena

Nikajua shida sio posho/mshahara kuwa mdogo tatizo ni matumizi yako binafsi watu wengi duniani hatuna utamaduni wa kusave pesa na watu wengi pia tunafanya matumizi yasiyo ya lazima kwa kiwango kikubwa sana

Matumizi yasiyo ya lazima hayaepukiki ila yanaweza kupunguzika kabisa

Tujijengee tabia ya kusave for the future na zifuatazo ni namna ambavyo mtu unaweza kusave pesa yako

1.Usifanye maamuzi ya kihisia kuhusu masuala ya pesa
2.Usifanye manunuzi ukiwa na njaa
3.Epuka vyakula visivyo na afya
4.Soma vitabu kuhusu usimamizi wa fedha
5.Usinunue nguo zisizo za lazima
6.Omba punguzo kila unapoenda kununua bidhaa fulani
7.Anza kuandika matumizi yote
8.Usibet,usivute sigara,usinywe pombe


Mbinu nyingine wajuvi mtaongezea

It's me Foffana

"Tunapoishi Giza kali hata mungu haji"
Kwenye namba 8 ndo kasheshe ilipo hasa Kwenye fegi apo
 
Naongezea

9.lipa madeni yote Kama unadaiwa
10.Usijibebeshe Majukumu yanayokuumiza kwa mtu ambae hujamuoa
11.Punguza kula mgahawani pika mwenyewe chakula chako
12.Nunua Vyakula visivoharibika kwa Bei ya jumla Mfano mchele,mahindi,mafuta nk
13.Usiishi kwa mashindano Mfano kuvaa kila fashion
14.Punguza matumizi ya Bando na vifurushi kwa kununua vifurushi vya mwezi kwa kutumia pocket WIFi
15.Ongeza Part time job ukiipata
16.Mwisho Heshimuu kipato chako
 
Naongezea

9.lipa madeni yote Kama unadaiwa
10.Usijibebeshe Majukumu yanayokuumiza kwa mtu ambae hujamuoa
11.Punguza kula mgahawani pika mwenyewe chakula chako
12.Nunua Vyakula visivoharibika kwa Bei ya jumla Mfano mchele,mahindi,mafuta nk
13.Usiishi kwa mashindano Mfano kuvaa kila fashion
14.Punguza matumizi ya Bando na vifurushi kwa kununua vifurushi vya mwezi kwa kutumia pocket WIFi
15.Ongeza Part time job ukiipata
16.Mwisho Heshimuu kipato chako
Shukrani sana Mkuu
 
Naongezea

9.lipa madeni yote Kama unadaiwa
10.Usijibebeshe Majukumu yanayokuumiza kwa mtu ambae hujamuoa
11.Punguza kula mgahawani pika mwenyewe chakula chako
12.Nunua Vyakula visivoharibika kwa Bei ya jumla Mfano mchele,mahindi,mafuta nk
13.Usiishi kwa mashindano Mfano kuvaa kila fashion
14.Punguza matumizi ya Bando na vifurushi kwa kununua vifurushi vya mwezi kwa kutumia pocket WIFi
15.Ongeza Part time job ukiipata
16.Mwisho Heshimuu kipato chako
Ubarikiwe sana, yote uliyoyaeleza hapa ni mambo ya msingi sana.
 
Habari za Jioni Mabro

Kuna watu naona wanalalamika kuwa 300K ni mshahara mdogo sana hauwezi kukidhi mahitaji ya mtu na familia yake

Ila kiuhalisia kabisa hiyo pesa ni nyingi sana sana kwa mtu kulipwa kwa mwezi hasa hasa kwa hapa Dar es salaam ambayo vitu vingi gharama zake ni nafuu sana

Kuna kiwanda fulani nilikuwa nafanya kazi kipindi hiko baada ya kumaliza form four sasa kuna mtu nilipangiwa nae kufanya kazi pamoja alikuwa ni mtu mzima sana na katika stori za hapa na pale alinambia yeye anaishi na mkewe na wana mtoto mmoja anasoma shule ya msingi

Na sehemu tuliyokuwa tunafanya kazi tulikuwa tunalipwa 5000 kwa siku na mshkaji anasema hiyo hiyo anasurvive vizurii tu na familia yake, analipa kodi ya chumba,mtoto anaenda shule na wanakula vizuri tu halaf mi kipindi hiko chalii nilirudi mtaani tu mshiko umeisha tayari kesho naamsha tena

Nikajua shida sio posho/mshahara kuwa mdogo tatizo ni matumizi yako binafsi watu wengi duniani hatuna utamaduni wa kusave pesa na watu wengi pia tunafanya matumizi yasiyo ya lazima kwa kiwango kikubwa sana

Matumizi yasiyo ya lazima hayaepukiki ila yanaweza kupunguzika kabisa

Tujijengee tabia ya kusave for the future na zifuatazo ni namna ambavyo mtu unaweza kusave pesa yako

1.Usifanye maamuzi ya kihisia kuhusu masuala ya pesa
2.Usifanye manunuzi ukiwa na njaa
3.Epuka vyakula visivyo na afya
4.Soma vitabu kuhusu usimamizi wa fedha
5.Usinunue nguo zisizo za lazima
6.Omba punguzo kila unapoenda kununua bidhaa fulani
7.Anza kuandika matumizi yote
8.Usibet,usivute sigara,usinywe pombe


Mbinu nyingine wajuvi mtaongezea

It's me Foffana

"Tunapoishi Giza kali hata mungu haji"
Usibet, usihonge, usinywe pombe, usivute sigara. Yani maana yake niache kuishi, NIJIFIE TU.
 
Naongezea

9.lipa madeni yote Kama unadaiwa
10.Usijibebeshe Majukumu yanayokuumiza kwa mtu ambae hujamuoa
11.Punguza kula mgahawani pika mwenyewe chakula chako
12.Nunua Vyakula visivoharibika kwa Bei ya jumla Mfano mchele,mahindi,mafuta nk
13.Usiishi kwa mashindano Mfano kuvaa kila fashion
14.Punguza matumizi ya Bando na vifurushi kwa kununua vifurushi vya mwezi kwa kutumia pocket WIFi
15.Ongeza Part time job ukiipata
16.Mwisho Heshimuu kipato chako
Nimenukuu hii ni ngumu ila ni nzuri na inatija ukiizingatia
 
Habari za Jioni Mabro

Kuna watu naona wanalalamika kuwa 300K ni mshahara mdogo sana hauwezi kukidhi mahitaji ya mtu na familia yake

Ila kiuhalisia kabisa hiyo pesa ni nyingi sana sana kwa mtu kulipwa kwa mwezi hasa hasa kwa hapa Dar es salaam ambayo vitu vingi gharama zake ni nafuu sana

Kuna kiwanda fulani nilikuwa nafanya kazi kipindi hiko baada ya kumaliza form four sasa kuna mtu nilipangiwa nae kufanya kazi pamoja alikuwa ni mtu mzima sana na katika stori za hapa na pale alinambia yeye anaishi na mkewe na wana mtoto mmoja anasoma shule ya msingi

Na sehemu tuliyokuwa tunafanya kazi tulikuwa tunalipwa 5000 kwa siku na mshkaji anasema hiyo hiyo anasurvive vizurii tu na familia yake, analipa kodi ya chumba,mtoto anaenda shule na wanakula vizuri tu halaf mi kipindi hiko chalii nilirudi mtaani tu mshiko umeisha tayari kesho naamsha tena

Nikajua shida sio posho/mshahara kuwa mdogo tatizo ni matumizi yako binafsi watu wengi duniani hatuna utamaduni wa kusave pesa na watu wengi pia tunafanya matumizi yasiyo ya lazima kwa kiwango kikubwa sana

Matumizi yasiyo ya lazima hayaepukiki ila yanaweza kupunguzika kabisa

Tujijengee tabia ya kusave for the future na zifuatazo ni namna ambavyo mtu unaweza kusave pesa yako

1.Usifanye maamuzi ya kihisia kuhusu masuala ya pesa
2.Usifanye manunuzi ukiwa na njaa
3.Epuka vyakula visivyo na afya
4.Soma vitabu kuhusu usimamizi wa fedha
5.Usinunue nguo zisizo za lazima
6.Omba punguzo kila unapoenda kununua bidhaa fulani
7.Anza kuandika matumizi yote
8.Usibet,usivute sigara,usinywe pombe


Mbinu nyingine wajuvi mtaongezea

It's me Foffana

"Tunapoishi Giza kali hata mungu haji"
Mimi njia nyepesi ninayoitumia ku save pesa yangu ni kuhakikisha siishiki mkononi mwangu au kuiweka mfukoni mwangu au kwenye M pesa yangu au akaunti yangu ya benki. Hapo inakuwa salama zaidi ya Rais anavylondwa!
 
Mimi njia nyepesi ninayoitumia ku save pesa yangu ni kuhakikisha siishiki mkononi mwangu au kuiweka mfukoni mwangu au kwenye M pesa yangu au akaunti yangu ya benki. Hapo inakuwa salama zaidi ya Rais anavylondwa!
Unaiweka wapi kwenye usalama huko
 
Matumizi ya lazima kama;
Chakula
Maji(kunywa,kuoga,kufua nk)
Malazi(pango,umeme,ulinzi shirikish nk)
Bando na mawasiliano
Matumizi mengine madogo madogo kama vile vitu vya kutafuna, dawa, vinywaji, vizinga vya ndugu (ambavyo haviepukiki), kubadili msosi siku moja moja, nauli na usafiri na mengine ambayo sijayataja ya lazima ndio yanayomaliza pesa

Kwa mshahara wa lak3-5 unaishia kwenye hivyo vitu hapo ambayo ni matumizi ya kila siku

Mimi kwa siku hata nijibane vipi elf7 lazima initoke siku nikisema nijiburudishe kidogo mara kuna tatizo limetokea huko nahitajika 10k unakuta inatumika 20k kwa siku na hizo siku hujirudia rudia per month hivi sijatumia Sana ni 400k hapo ni jumla ya matumizi yote ila miezi mingine hadi 600k inafika kulingana na majukumu

Kiuhalisia 300k haitoshi utajibana hadi ujambie tumboni
 
Back
Top Bottom